Naenda Kanisani lakini naenda kwa Shekhe kuloga ili mambo yangu yaende sawa

Naenda Kanisani lakini naenda kwa Shekhe kuloga ili mambo yangu yaende sawa

Tatizo lako kiwango chako cha ujinga na upumbafu kimevuka viwango...yani upo beyond repair.

Waumini wote wa dini ni makondoo wa maandiko wanayoyafuata.

#MaendeleoHayanaChama
Nimekuuliza ulishawahi kutumia akili,yaani unajua akili inatumikaje!?..swali jepesi,jibu ikiwa Kama mtu mwenye akili
 
Ukisoma wewe peke yako inatosha acha mimi niweke mambo yangu sawa, binadamu wabaya sana.
😂Mkuu mbona unakazia sana kuhusu kuweka mambo sawa ,tuambie japo kiufupi tofauti au faida uliyopata baada ya kumtumia shekh na before hujamtumia ilikuwaje?
 
Wabongo tunatishana sana..hizi kauli zimefanya wengi wasifikie ndoto zao kwa vitisho kama hivi.

Sawa sawa na kumwambia tu asifanye jambo eti atakufa..kwani kuna mtu amekuja kulinda dunia.?

#MaendeleoHayanaChama
Kila mtu ashikilie anachokiamini,
Mimi ninachangia kulingana na imani yangu,
Unaweza ukachukua ushauri wangu au ukauacha pia.

NB: Hakuna anaweza kutumikia mabwana wawili.
Nuru na Giza havichangamani.
 
Bila kupepesha macho, mtoa post ni mwanamke na elimu yake ni chini ya degree. Halafu anapenda mipasho na vichambo kidogo, probably anakaa maeneo ya uswahili hivi
 
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.

Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Acha uendelee kuwa mtumwa wake,akihitaji kula kuku anachomoa waya tu anajua utarudi tu na ukifika anaconnect tena.....anakuvizia tena baada ya miezi kadhaa akiwa hana hela...... utakuwa mtumwa miaka nenda rudi
 
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.

Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Ukiwa Mkristo kuna namna ya kuilinda biashara yako bila hata kwenda kwa Shekhe au mganga.

Iko hivi :
Mshirikishe BWANA MUNGU kwenye biashara yako kwa kumpa hisa au gawio la asilimia 10% tu kila mwezi kutoka kwenye faida unayopata.

Kwa kufanya hivyo moja kwa moja unakuwa umemfanya BWANA MUNGU kuwa mmiliki halali wa biashara yako hivyo akiwa kama mmiliki atailinda na kuibariki biashara yako.

Namna ya kumlipa BWANA MUNGU ni wewe kutoa "fungu la kumi" kanisani kwako kila mwezi na kwa uaminifu.

Angalizo :
  • hakikisha biashara yako ni halali kabisa na haina kona kona.
  • hakikisha unaishi kwa kuzishika Amri zote kumi za MUNGU na imani ya KRISTO.
(Mwanzo 14:18-20) (Mwanzo 28:20-22) Malachi 3:10-12
"Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema BWANA wa majeshi".
 
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.

Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
ala!! kumbe mashehe ni wachawi???...du!!!!,kwa ivo waislam ni wachawi!!!,,,,,anagalia wewe jamaa,utakatwa shingo!! shauri yako....ngoja wapige"TAKBIIIIR!!! kama kichwa hakijadondoka chini.
 
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.

Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?

Hakuna ubaya wowote ndugu,pambana
 
Big up! Umeshajua maisha ni mchezo. Mtu akikushika shati ili usisonge mbele wewe piga kipepsi cha nguvu uondoe meno yote na hatarudia tena. Mambo ya "namuachia Mungu" ni mbinu za Kizungu ili tuzidi kuwa mazuzu. Jino kwa jino. Nakushauri nenda utengeneze mambo kiasi kwamba akirusha bomu lirudi kwake mara mbili.
 
Ukishaanza kuweweseka hivi ujue ushaingia kwenye 18 za mganga pole sana Mkuu na hatua hii ni wachache sana wanaomrudia Mungu mpaka yawakute mabaya baada ya kuua ndugu au mganga kuua mteja wake...
 
Nakuunga mkono jamaaa ,angaika sana kuna watu wabaya aiseee na uchawi upo.
 
Kwa hio wazinzi, waasherati na wafiraji wataurithi ufalme wa MUNGU? HUYU PAULO MBONI KM SIMUELEWI

Huu si Waraka wa Mtume Paulo kwa Wagalatia huu? Sasa mboni katika hilo andiko Wazinzi, Waasherati pamoja na Wafiraji hajawaandika kwamba hawataurithi ufalme wa MUNGU? Au sijasoma vizuri mkuu au ndio mambo yanayofanana na hayo?

Kwa hio uzinzi, ufiraji na uasherati ni sawa na ibada za Sanamu ni sawa na uchawi ni sawa na wivu ni sawa na ugomvi? Inafikirisha sana,

Pardon my language
 
ala!! kumbe mashehe ni wachawi???...du!!!!,kwa ivo waislam ni wachawi!!!,,,,,anagalia wewe jamaa,utakatwa shingo!! shauri yako....ngoja wapige"TAKBIIIIR!!! kama kichwa hakijadondoka chini.
Mbona kama vile unachochea kuni ili moto uwake vizuri kwa wafia dini wa mnyaazi mungu [emoji848][emoji16]
 
Back
Top Bottom