Naenda Tanga kuoa

Naenda Tanga kuoa

Habari wadau, i hope wote mpo poa sana.Mimi ni kijana wa miaka 28,mkazi wa dar es salaam.
Nimekuja humu kuonba muongozo wa kwenda kuoa Tanga,nimeamua kwenda huko kutokana na nimechoka kuishi mwenyewe na mademu huku wa dar naona wazinguaji na mimi binafsi sipendi kusumbuka na kubembeleza sana.Huko tanga sina mwenyeji wala sijui kwa kuanzia.Nina liziko ya wiki kufanikisha hilo.Nipo serious.
Twende mkuu tuongozane mi next week naenda kuchukua chombo nijipoze na baridi
 
Namimi nashida hiyo.Nije pm?
Yes, ila usimwogope ni mtaalam ila ndio mzee wa kijiji na anajua kila mtu na anaweza kukupa wanadada wakorogwe.kijijini wazuri wenye heshima na wakakupenda kwa moyo ni mtu mzima sana tena haitaji pesa nyingi
 
Utafakari hii pia..
dfdd.jpg
 
Pale limbwata linaponoga...jipange mzee kuoa siyo jambo la mchezo mchezo, unabet maisha ujue
 
Mkuu una uhakika lakin?
Hahah mwamba kajipa likizo ya wiki kwenda Tanga kuposa na ndoa juu arudi na mke Dar maisha yaende!!!

Kwa ndoa za hivi yatakayomkuta akiyasimulia kwa watu nani atatamani kuishi kinyumba na mwanamke sembuse kufunga nae ndoa?
 
Back
Top Bottom