Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Watanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka ya kumteua mtu yeyote kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania.

Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.

Ila inapotokea Rais hayupo nchini, hierarchy ya mwakilishi ndipo hufuatwa ya
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF

P
Rais wa Zanzibar kwa mujibu wa katiba ni waziri hivyo hawezi kuwa juu ya waziri mkuu.
 
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
Amani na utulivu..
Usifiri nje ya hapo
 
Kitendo hiki ni Cha Uvunjaji mkubwa zaidi wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania.

Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya ki-Urais ya kuweza kumwakilisha Rais wa Tanzania huko nje ya nchi kwani hana mamlaka ya kikatiba kwa upande wa Tanganyika. Aidha, Makamu wa Rais wa Tanzania anayo mamlaka ya kiutendaji u-Rais) hata kwa upande wa Zanzibar, lakini nashangaa ni kwa nini Makamu wa Rais mara nyingi sana amekuwa akienguliwa katika kupewa nafasi ya kumwakilisha Rais wa Tanzania katika ziara za kikazi huko nje ya Tanzania na badala yake nafasi yake imekuwa ikiwaklishwa na Rais wa Zanzibar, mtu ambaye mwenye Cheo kidogo ukilinganisha na cheo Cha Makamu wa Rais.

Nafikiri ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania kuna tatizo kubwa Sana hususani kuhusiana na Mambo ya masuala ya Itifaki (Protocol). Kuna shuhuda nyingi sana za wazi kabisa ambazo zimedhihirisha kwamba Masuala haya ya Itifaki ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania yamekuwa hayazingatiwi wala kutiliwa maanani. Mara nyingi Itifaki hii imekuwa ikivunjwa hadharani, na tatizo hili limekuwa likijirudia rudia.

Kwa kuzingatia Muundo wa Utendaji ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania, Je, mtu mwenye Cheo gani hasa ndani ya Ikulu ambaye anahusika moja kwa moja na Usimamizi wa Itifaki katika nchi hii???
Dr mpango hatoshi
 
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
Kuna nini huko Indonesia.
Huenda ni maswala ya Karafuu...!
 
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, nafasi ya VP ni just only if President hayupo, kama vile ile ya March 17, lakini president akiwepo, VP hana any executive powers zozote zaidi ya kusubiria just in case rais ata nanilii!, hivyo Rais anaweza kumpangia mtu yeyote kumwakilisha popote na hajakiuka katiba!.
Tujifunze katiba ya JMT.
Ukisoma taarifa hii unaona moja kwa moja jinsi elimu yetu ilivyo na upungufu mkubwa!

Kwa mfano: kumwakilisha rais kunahitaji "'executive powers" powers zipi? Hao wengine mbali ya Makamu wake, wao hizo "executive powers" wanagawiwa na huyo rais? Kwa nini asimgawie na huyo Makamu wake ili amwakilishe?
 
unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Angalia ujinga kama huu nao unakuwa ni sehemu ya kuyahusisha na maswala ya serikali? Hii CCM imekuwa ni tatizo hasa ndani ya nchi hii.
 
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
halafu watu wanatazama tu! Niliandika huku kuwa subiri, Tanga, Dar na pwani zitakuwa sehemu ya Zanzibar kwa mwendo huu wa kizimkazi
 
halafu watu wanatazama tu! Niliandika huku kuwa subiri, Tanga, Dar na pwani zitakuwa sehemu ya Zanzibar kwa mwendo huu wa kizimkazi
Zitakuwa mara ngapi wakati ni kweli Dar, Tanga na maili kumii za eneo lote la pwani yote ya Africa Mashariki kuanzia Sofala hadi Lamu ni milki ya Sultan of Zanzibar. Mwaka 1890 ndipo Germany ikafanya mkataba wa Hellingoland, the Zanzibar Treaty kulinunua. Mama Kizi akilifanya la Zanzibar, atakuwa ni amerejesha kilichokuwa chake.
P
 
unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Asante kwa ufafanuzi wako
 
Watanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka ya kumteua mtu yeyote kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania.

Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.

Ila inapotokea Rais hayupo nchini, hierarchy ya mwakilishi ndipo hufuatwa ya
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF

P
Leo kidogo umeandika point
 
Back
Top Bottom