Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787]Duh...!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Duh...!.
P
[emoji1787][emoji1787]Hiyo Channel uliyoichagua Wananchi wakiangalia wanaumia macho
Uwe na shukrani, ndio Channel pekee iliyorusha mambo yenu kama haya.Hiyo Channel uliyoichagua Wananchi wakiangalia wanaumia macho






....channel pekee..[emoji7]Uwe na shukrani, ndio Channel pekee iliyorusha mambo yenu kama haya.
KMT TV PROG. JJ MNYIKA AZUNGUMZA, AFAFANUA, KUMBE MWENYEKITI WA BAWACHA SIO KIONGOZI WA KITAIFA!.
JJ MNYIKA ATOA RAI, MBUNGE WAKE AIDA KENANI, AKIZUNGUMZA ACHUKULIWE MAANANI NI CHADEMA IMEZUNGUMZA!.
KMT- JJ MNYIKA "MARIDHIANO, YASAIDIA CHADEMA KUTAMBUA UCHAGUZI, MATOKEO NA KUMTAMBUA MBUNGE WAKE 1.
KTM TV PROG. KM JJ MNYIKA ATOA MAONI YA CHADEMA KUHUSU UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA NA UCHAGUZI MKUU
KMT- JJ MNYIKA ASHANGA WABUNGE 19 KUWEPO HATA BAADA YA MAHAKAMA KUTHIBITISHA WAMEFUKUZWA KWA HAKI!.
KMT- JJ MNYIKA "CHADEMA INA UTHIBITISHO WA MAMLAKA IKITENGENEZA JINAI, POLISI HAWAFANYI UCHUNGUZI"
14 views5 months ago
JJ MNYIKA AKIJIBU KWANINI MPAKA LEO, CHADEMA
P
Rais wa Zanzibar kwa mujibu wa katiba ni waziri hivyo hawezi kuwa juu ya waziri mkuu.Watanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka ya kumteua mtu yeyote kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania.
Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.
Ila inapotokea Rais hayupo nchini, hierarchy ya mwakilishi ndipo hufuatwa ya
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF
P
Nimeshangaa sana! Hadi nikajiuliza huyu ni mwanasheria kweli au ni kishoka?Rais wa Zanzibar kwa mujibu wa katiba ni waziri hivyo hawezi kuwa juu ya waziri mkuu.
Amani na utulivu..Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.
Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?
View attachment 3083085
Dr mpango hatoshiKitendo hiki ni Cha Uvunjaji mkubwa zaidi wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania.
Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya ki-Urais ya kuweza kumwakilisha Rais wa Tanzania huko nje ya nchi kwani hana mamlaka ya kikatiba kwa upande wa Tanganyika. Aidha, Makamu wa Rais wa Tanzania anayo mamlaka ya kiutendaji u-Rais) hata kwa upande wa Zanzibar, lakini nashangaa ni kwa nini Makamu wa Rais mara nyingi sana amekuwa akienguliwa katika kupewa nafasi ya kumwakilisha Rais wa Tanzania katika ziara za kikazi huko nje ya Tanzania na badala yake nafasi yake imekuwa ikiwaklishwa na Rais wa Zanzibar, mtu ambaye mwenye Cheo kidogo ukilinganisha na cheo Cha Makamu wa Rais.
Nafikiri ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania kuna tatizo kubwa Sana hususani kuhusiana na Mambo ya masuala ya Itifaki (Protocol). Kuna shuhuda nyingi sana za wazi kabisa ambazo zimedhihirisha kwamba Masuala haya ya Itifaki ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania yamekuwa hayazingatiwi wala kutiliwa maanani. Mara nyingi Itifaki hii imekuwa ikivunjwa hadharani, na tatizo hili limekuwa likijirudia rudia.
Kwa kuzingatia Muundo wa Utendaji ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania, Je, mtu mwenye Cheo gani hasa ndani ya Ikulu ambaye anahusika moja kwa moja na Usimamizi wa Itifaki katika nchi hii???
Kuna nini huko Indonesia.Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.
Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?
View attachment 3083085
Jibu sahihi kabisa!Hiyo Channel uliyoichagua Wananchi wakiangalia wanaumia macho
Ukisoma taarifa hii unaona moja kwa moja jinsi elimu yetu ilivyo na upungufu mkubwa!Kwa mujibu wa katiba ya JMT, nafasi ya VP ni just only if President hayupo, kama vile ile ya March 17, lakini president akiwepo, VP hana any executive powers zozote zaidi ya kusubiria just in case rais ata nanilii!, hivyo Rais anaweza kumpangia mtu yeyote kumwakilisha popote na hajakiuka katiba!.
Tujifunze katiba ya JMT.
Angalia ujinga kama huu nao unakuwa ni sehemu ya kuyahusisha na maswala ya serikali? Hii CCM imekuwa ni tatizo hasa ndani ya nchi hii.unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]
Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...
Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....
Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....
Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....
Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!
Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....
#Anyigulile Kyala[emoji7]
halafu watu wanatazama tu! Niliandika huku kuwa subiri, Tanga, Dar na pwani zitakuwa sehemu ya Zanzibar kwa mwendo huu wa kizimkaziWataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.
Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?
View attachment 3083085
Zitakuwa mara ngapi wakati ni kweli Dar, Tanga na maili kumii za eneo lote la pwani yote ya Africa Mashariki kuanzia Sofala hadi Lamu ni milki ya Sultan of Zanzibar. Mwaka 1890 ndipo Germany ikafanya mkataba wa Hellingoland, the Zanzibar Treaty kulinunua. Mama Kizi akilifanya la Zanzibar, atakuwa ni amerejesha kilichokuwa chake.halafu watu wanatazama tu! Niliandika huku kuwa subiri, Tanga, Dar na pwani zitakuwa sehemu ya Zanzibar kwa mwendo huu wa kizimkazi
Endelea kushangaa ...Nimeshangaa sana! Hadi nikajiuliza huyu ni mwanasheria kweli au ni kishoka?
Asante kwa ufafanuzi wakounaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]
Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...
Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....
Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....
Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....
Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!
Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....
#Anyigulile Kyala[emoji7]
Leo kidogo umeandika pointWatanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka ya kumteua mtu yeyote kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania.
Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.
Ila inapotokea Rais hayupo nchini, hierarchy ya mwakilishi ndipo hufuatwa ya
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF
P
Duh...!.Leo kidogo umeandika point