Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Tanzania ni nini?
Muungano wa Nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar 👍🙏

Nakazia ni Nchi MBILI kamilifu zilizoungana mwaka 1964 !
Tanganyika wakati huo ikiongozwa na Rais Hayati Julius Nyerere na Zanzibar ikiongozwa na Rais Hayati Abeid Karume !
Kipindi hicho mimi nikiwa Middle School darasa la V . 🙏🙏
 
Watanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka ya kumteua mtu yeyote kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania.

Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.

Ila inapotokea Rais hayupo nchini, hierarchy ya mwakilishi ndipo hufuatwa ya
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF

P
Kwamba kwa mujibu wa katiba Rais wa Zanzibar anamtangilia PM? Katiba inamtaja PM kama na. 3
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-31-07-30-26-15.jpg
    Screenshot_2024-08-31-07-30-26-15.jpg
    358 KB · Views: 3
Kwamba kwa mujibu wa katiba Rais wa Zanzibar anamtangilia PM? Katiba inamtaja PM kama na. 3
Kuna vitu viwili kwenye mtiririko wa uongozi, kuna constitutional hierarchy ambapo Rais wa Zanzibar is nobody ndani ya mfumo wa utawala wa nchi,
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ

Rais wa Zanzibar is nobody!, tena katiba ya JMT haiyatambui mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar yalifanywa 2010.

Lakini ki protocol
No. 1 ni Rais wa JMT
No. 2 ni VP
No. 3 ni rais wa Zanzibar
No. 4 ni PM
No. 5 ni DPM
No.6 ni VP 1 ZnZ
No. 7 ni VP 2 ZnZ
No.8 ni Spika
No. 9 ni CJ
No. 10 ni CDF

But when it comes kumwakilisha Rais popote, yeyote anaweza kuteuliwa hata wewe!.
P
 
Dada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Umeandika ujinga tu
 
Zitakuwa mara ngapi wakati ni kweli Dar, Tanga na maili kumii za eneo lote la pwani yote ya Africa Mashariki kuanzia Sofala hadi Lamu ni milki ya Sultan of Zanzibar. Mwaka 1890 ndipo Germany ikafanya mkataba wa Hellingoland, the Zanzibar Treaty kulinunua. Mama Kizi akilifanya la Zanzibar, atakuwa ni amerejesha kilichokuwa chake.
P
Famba sana wewe..
 
Watanzania wanahitaji sana kufundishwa katiba yao, Rais wa Tanzania ni executive president na sio ceremonial leader, amepewa mamlaka inayoitwa presidential appointment ya kumteua mtu yeyote kumsaidia au kumwakilisha popote as long as ni Mtanzania and sometimes sio lazima awe Mtanzania!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania ambao Watanzania wote wa pande zote wana haki sawa za Utanzania hivyo kiuraia Wanzanzibari wote wana haki sawa za Utanzania kama wabara, hivyo wana haki ya kuteuliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi popote ndani ya JMT na Rais wa JMT yuko huru kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote katiba jambo lolote!.

Inapotokea Rais hayupo kabisa au hawezi kutekeleza majukumu yake ya urais kwa sababu yoyote ile ikiwemo kifo, then hierarchy ya Katiba ya JMT inafuatwa
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ

Lakini inapotokea Rais yupo busy, anaweza kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote.

Pia kuna hierarchy ya ki Protokali
No. 1. Rais
No. 2 VP
No. 3 ZnZ President
No. 4 PM
No. 5. DPM
No. 6 VP 1- ZnZ
No. 7 VP 2- ZnZ
No. 8 -Spika
No. 9- CJ
No. 10- CDF

P
Samahani DPM kirefu chake ni nini?

Na VP inakuwaje wako wawili Kwa Zanzibar?

Naomba nisaidie hierarchy ya kikatiba na kiprotokal Kwa upande wa znz tafadhali
 
Dada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Punguza Uchawa, jaribu kuchambua mambo kwa kutumia akili kidogo!
 
unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Watu wanafuatilia vitu vidogo, watu wanatekwa huko jamani na watu wasiojulikana wamerudi kwa kishindo
 
Mungu atuepushe na kutekwa, Amina
Makamu ni kama analazimishwa kwa sababu afya yake siyo nzuri. Ameshaomba kujiuzulu lakini wakamwambie avute vute muda mpaka ufike wakati wa uchaguzi. Kuna uwezekano mkubwa kuwa 2025 wakati wa uchaguzi mafisi-M watateua makamu mwingine na atapatikana kwa hisani ya ''mwarabu'' kwani amewekeza sana kwenye hii nchi na kifo cha Makomeo kilitoa funzo kubwa. Unajua chanzo cha ugomvi wa kina ''Marope'' na ''bibi''? Baada ya kunusa na kujua makamu hatagombea tena 2025 walikuwa wanaandaa kwa siri mtu atakayechukuwa nafasi yake. Akishashika hiyo nafasi, baada ya uchaguzi, ''wafyatue'' kitanzi walichotega, na litokee la kutokea, mtu wao awe kinara wa nchi.
 
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, nafasi ya VP ni just only if President hayupo, kama vile ile ya March 17, lakini president akiwepo, VP hana any executive powers zozote zaidi ya kusubiria just in case rais ata nanilii!, hivyo Rais anaweza kumpangia mtu yeyote kumwakilisha popote na hajakiuka katiba!.
Tujifunze katiba ya JMT.
Mimi nimejitolea kusaidia Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
P
Haya Makinikia yako Kaka Pascal haya chenjuliki!
Tuambie ni zamu ya Wazanzibari kutamba,nitakuelewa.
 
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
Isdor Mpango ni threat kwa Samia so anapewa majukumu madogomadogo sana ili asiweze ku shine... Kuna wakati huko nyuma tullikuwa kama hatuna kabisa makamu wa rais kwa jinsi alivyowekwa kando. Ukiwa na uwezo mdogo lazima uwe muoga
 
Kitendo hiki ni Cha Uvunjaji mkubwa zaidi wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania.

Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya ki-Urais ya kuweza kumwakilisha Rais wa Tanzania huko nje ya nchi kwani hana mamlaka ya kikatiba kwa upande wa Tanganyika. Aidha, Makamu wa Rais wa Tanzania anayo mamlaka ya kiutendaji u-Rais) hata kwa upande wa Zanzibar, lakini nashangaa ni kwa nini Makamu wa Rais mara nyingi sana amekuwa akienguliwa katika kupewa nafasi ya kumwakilisha Rais wa Tanzania katika ziara za kikazi huko nje ya Tanzania na badala yake nafasi yake imekuwa ikiwaklishwa na Rais wa Zanzibar, mtu ambaye mwenye Cheo kidogo ukilinganisha na cheo Cha Makamu wa Rais.

Nafikiri ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania kuna tatizo kubwa Sana hususani kuhusiana na Mambo ya masuala ya Itifaki (Protocol). Kuna shuhuda nyingi sana za wazi kabisa ambazo zimedhihirisha kwamba Masuala haya ya Itifaki ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania yamekuwa hayazingatiwi wala kutiliwa maanani. Mara nyingi Itifaki hii imekuwa ikivunjwa hadharani, na tatizo hili limekuwa likijirudia rudia.

Kwa kuzingatia Muundo wa Utendaji ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania, Je, mtu mwenye Cheo gani hasa ndani ya Ikulu ambaye anahusika moja kwa moja na Usimamizi wa Itifaki katika nchi hii???
Twatoka Zenji siye. Mwataka nini yakhe?
 
Isdor Mpango ni threat kwa Samia so anapewa majukumu madogomadogo sana ili asiweze ku shine... Kuna wakati huko nyuma tullikuwa kama hatuna kabisa makamu wa rais kwa jinsi alivyowekwa kando. Ukiwa na uwezo mdogo lazima uwe muoga
Kwa kawaida Maboss wakubwa mahala pa kazi huwa hawapendi wazungukwe na Wafanyakazi walio chini yake (subordinates) ambao ni smart na wenye elimu, akili au upeo mkubwa zaidi kuwazidi maboss wao. That's why Kuna msemo unaosema kwamba "never outshine your master." Hili suala ndio limekuwa kiini au chanzo kikubwa Sana cha kuibuka kwa Migogoro ya kugombea madaraka katika katikà taasisi mbalimbali hapa duniani.
 
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
Walah katiba imesiginwa kabsaaa ,huyo mtu bara Hana chake
 
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, nafasi ya VP ni just only if President hayupo, kama vile ile ya March 17, lakini president akiwepo, VP hana any executive powers zozote zaidi ya kusubiria just in case rais ata nanilii!, hivyo Rais anaweza kumpangia mtu yeyote kumwakilisha popote na hajakiuka katiba!.
Tujifunze katiba ya JMT.
Mimi nimejitolea kusaidia Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
P
Ndio lakini ni principal assistant wake na ndio maana hao wengine anaweza kuwafukuza at will lakini huyo haiwezi. Pia huyo ni mwakilishi wake kama Waziri na sio kama Raisi wa Zanzibar. Ingesomeka amemtuma mjumbe wa Baraza la Mawaziri ambae pia ni Raisi wa Zanzibar. Kinachompa uwezekano wa kutumwa na Raisi wa Jamhuri ni uwaziri wake na sio Uraisi wake wa Zanzibar. La sivyo angeitwa mjumbe maalum Kwa niaba ya Raisi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom