Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Katika majuha mliojaa humu jf wewe ni kiongozi! Sibishani na wapumbavu na hamuwezi kunibadilisha msimamo nlionao juu ya nnavyoishi na mwanaume. A man is a provider hiyo ya kwako sijui natafuta privilege ipigie mstari. Siwezi kukaa na mwanaume ndani nihudumie familia na ye yupo anajiita mwanaume ntakuchosha akili tu. And yes, mwanamke anaekubali ndoa za mitala na bado anakaa tu nyumbani ni msukule. Kabishane na ukuta. Juha pro max 🚮
Kubali tu dada angu hapo kwenye kipengere cha kulipa bill za nyumbani bado mpo confused, simamisheni kwanza movements then za ufeminia mkubaliane kwenye hicho kipengere.

Mnataka mwanaume awe provider? basi tokeni uko maofisini muwe mama wa nyumbani au mnataka 50/50? basi bill za nyumbani zilipwe na wote.
 
Kubali tu dada angu hapo kwenye kipengere cha kulipa bill za nyumbani bado mpo confused, simamisheni kwanza movements then za ufeminia mkubaliane kwenye hicho kipengere.

Mnataka mwanaume awe provider? basi tokeni uko maofisini muwe mama wa nyumbani au mnataka 50/50? basi bill za nyumbani zilipwe na wote.
Hata wanaume hamjui mnachotaka. Mnataka mwanamke ambae sio golikipa, at the same time hamtaki wawe maofisini, at the same time anazaa watoto na analea tukianza kuongelea 50/50 hapa utakubali kuingia labor ili anavyopambana na maumivu na we ukalishwe pembeni uchapwe viboko?
Au 50/50 ni kwenye hela na bills tu?! Kwani mwanamke akifanya kazi kuna shida gani? Mnaogopa watawaacha au?

Na kwenye point ya bill kuna mahali hujaelewa au mnapenda tu tubishane. Personally bills silipi 50/50 hata dunia iumbwe upya. Ntaongeza panapopungua and not otherwise.

Alafu mna shida gani maana sielewi mnataka mwanamke alipe bills 50:50 lakini bado hamtaki 50:50 mbona siwaelewi
 
Nimeshakupata. Wanaweke wenye vipato vikubwa zaidi ya mwanaume ndio tatizo na ndoa zao huwa azidumu
Because of the inferior mentality. Kwanini mwanaume usiendelee kuhudumia familia yako kwa kipato ulichonacho? It just doesn’t sit right with me! We play part yako.
 
Because of the inferior mentality. Kwanini mwanaume usiendelee kuhudumia familia yako kwa kipato ulichonacho? It just doesn’t sit right with me! We play part yako.
Nani kasema haendelei kuhudumia familia? Nyinyi wanawake mkishakuwa na kipato kumidi mwanaume mnakuwa na dharau sana. Kwani familia ni ya mwanaume pekeyake? Kama una uwezo wa kumsaidia majukumu kwanini usifanye kwa upendo tu bila dharau
 
Na kwenye point ya bill kuna mahali hujaelewa au mnapenda tu tubishane. Personally bills silipi 50/50 hata dunia iumbwe upya. Ntaongeza panapopungua and not otherwise.
Hapa sasa ndio umeongea ukweli. Mengine yote ni blah blah tu. Kupitia hii aya yako tunaitimisha ya kwamba hampo tayari kwa 50/50
 
Hapa sasa ndio umeongea ukweli. Mengine yote ni blah blah tu. Kupitia hii aya yako tunaitimisha ya kwamba hampo tayari kwa 50/50
Sasa mnatakaga nini? Maana sijaelewa ulichojua unaniattack huko juu ni nini? Most men ni misogynists nawaambia kila siku yaani hamtaki kuskia mwanamke ana ongea chochote. Tokeni kwenye hizo zama.

Tuhitimishe tu hili swala Rudi kwenye thread yangu mada kuu ni nini ukiisoma utaielewa. Heshima mnaijenga na mnaivunja nyinyi wenyewe. Men play your part stop being intimidated by educated women mnaishi kwa kujishuku sana.
 
Sasa mnatakaga nini? Maana sijaelewa ulichojua unaniattack huko juu ni nini? Most men ni misogynists nawaambia kila siku yaani hamtaki kuskia mwanamke ana ongea chochote. Tokeni kwenye hizo zama.

Tuhitimishe tu hili swala Rudi kwenye thread yangu mada kuu ni nini ukiisoma utaielewa. Heshima mnaijenga na mnaivunja nyinyi wenyewe. Men play your part stop being intimidated by educated women mnaishi kwa kujishuku sana.
Wakati unataka mwanaume akufanyie kila kitu kama kukuhudumia, kutengeneza gari, kubadilisha bulb, kupigana na wengine kwa ajiri yako, kukuridhisha kitandani n.k wewe una-provide variable output gani kwenye hayo mahusiano?.. Usiniambie kutoa kumer na kupika izo huduma mwanaume anaweza kuzipata hata bila uwepo wako maishani mwake.

What so special about you, amekukuta bikira? We can't waste our time, energy or resources because of bitch like you.
 
Wakati unataka mwanaume akufanyie kila kitu kama kukuhudumia, kutengeneza gari, kubadilisha bulb, kupigana na wengine kwa ajiri yako, kukuridhisha kitandani n.k wewe una-provide variable output gani kwenye hayo mahusiano?.. Usiniambie kutoa kumer na kupika izo huduma mwanaume anaweza kuzipata hata bila uwepo wako maishani mwake.

What so special about you, amekukuta bikira? We can't waste our time, energy or resources because of bitch like you.
Beba mimba miezi tisa, kapambane na epidural labor manua hadi kichwa cha binadamu kitoke ndo uje ubishane na mimi 🚮 takataka. Najua na hilo nalo mnaliweza si mnajiona mnavyojazana na vipensi. Na nyie saizi mnajibinua kidimbwi mmeona wanawake tunafaidii. Wanaume mme turn out kuwa soooo weak! Kwanza hao wa kupigania wanawake wako wapi wote tunanunua nao sidiria na bikini🤣

Ukinijibu na hili we mwanaume- ukitoka labor kutoa kiumbe njoo niambie mnajua kupika na kufua nani kakwambia saizi tunafua. I know my worth na haipimwi na kupika. Msio na wake ndani mnadhani that’s all🤣 ndoa sio kutoa K na kufua tu pungasese wewe. Mbona mnatelekeza watoto kwa mama zao kama ni rahisi. Bundi we
 
Sasa nyie mnaotaka wapumbavu ndo hakuwezi elewa
Kwamba kuna mwanaume yuko na wewe kimahusiano halafu na yeye anajiona yuko mwanamke?? Basi mwanaume huyo ni fungu la kukosa na mgeni kabisa wa wanawake.

Mwanamke kama wewe sio tu kimahusiano, bali haufai kabisa hata kwa one night stand...

kuna redflags nyingi sana zinakuonesha wewe ni useless being, hebu ona kwanza ulivyokuwa mdomo mchafu, unabwabwaja maneno ovyoo tu yasiofaa na ukiyaelekeza kwa wanawake wenzio... hivi una akili wewe?

Kama kuna mwanaume yuko na wewe basi anahitaji kufanyiwa psychometric test, imekuwaje ana date na chizi.
 
Hata wanaume hamjui mnachotaka. Mnataka mwanamke ambae sio golikipa, at the same time hamtaki wawe maofisini, at the same time anazaa watoto na analea tukianza kuongelea 50/50 hapa utakubali kuingia labor ili anavyopambana na maumivu na we ukalishwe pembeni uchapwe viboko?
Au 50/50 ni kwenye hela na bills tu?! Kwani mwanamke akifanya kazi kuna shida gani? Mnaogopa watawaacha au?

Na kwenye point ya bill kuna mahali hujaelewa au mnapenda tu tubishane. Personally bills silipi 50/50 hata dunia iumbwe upya. Ntaongeza panapopungua and not otherwise.

Alafu mna shida gani maana sielewi mnataka mwanamke alipe bills 50:50 lakini bado hamtaki 50:50 mbona siwaelewi
Ona sasa mtu mwenyewe anavyo reason?
 
🤣 Eh bhana Mmemaliza. Mmetisha sana. Mmeeleweka
Imagine mtu anakwambia hata kama ana kipato sawa au kumzidi kumzidi mume wake hayuko tayari kuchangia bill 50/50 just kwa sababu yeye ndio anabeba mimba na kuingia Labour ward kuleta mtoto, na aongea hivyo kwa kujiamin kabisa pasipo kuangalia kwamba hilo ni jukumu la biolojia ambalo haliwezi kuwa compromised kwa namna yoyote ile.... sasa huyo mtu ana akili kweli?

Anataka mwanaume astep up na kuplay zile traditional masculine duties zote wakati huo na yeye hayuko tayari kubaki kwenye femininity, afanye chochote anachojiskia kufanya na ukijaribu kupingana nae anatafsiri kwamba unamfanya mskule, na kikubwa zaidi anataka wewe baba/mume ndio uwe breadwinner na humo ndani muishi jinsi anavyotaka yeye.... ndio maana nasema kama kuna mwanaume yuko na huyu demu basi mwanaume huyo ni fungu la kukosa na lazimq atakuwa ni zezeta
 
Back
Top Bottom