Chambichambi
Senior Member
- May 23, 2022
- 139
- 229
Mkuu umewajibu safi sana hawa wanaowadharau watendaji wanasahau kabisa hawa ndo mabosi na wawakilishi wa serikali ngazi ya kata so biga ua huyu mtu lazima awajue watu wake watakaopga kazi kwenye kata na pia anaushawishi akikusimamia lazima ukale hizi pesa za sensa.We jamaa unajidai mjuaji na unaanika upumba.vu wako tu humu kwa watu walio vyema upstairs, NBS hawako na manpower ya kusaili mitaa na vijiji vyote Tanzania, pia tambua hata wataoyapublish hayo majina ni haohao wa ngazi ya kata ambao wamepelekwa mafunzo maalumu ya kuingia kwenye mfumo wa NBS kupitia na kuchakata maombi ya makalani, wasimamizi wa mauzui na wasimamizi wa TEHAMA, unaposema mchakato utafanywa na NBS ni sawa lakini sasa tambua kwamba NBS wamekasimisha hizo powers zao kwa watendaji....ukweli mchungu [emoji28]
Jambo usilolijuwa litawasumbua sana, ndivyo mnavyoongopeana huko mitaani?Mkuu umewajibu safi sana hawa wanaowadharau watendaji wanasahau kabisa hawa ndo mabosi na wawakilishi wa serikali ngazi ya kata so biga ua huyu mtu lazima awajue watu wake watakaopga kazi kwenye kata na pia anaushawishi akikusimamia lazima ukale hizi pesa za sensa.
Wanafarijiana baada ya kupigwa Cha mfukoni na hao watendaji. Toka siku ya kwanza kabisa hakuna sehemu hata moja iliyomtambua mtendaji katika kazi hii.Jambo usilolijuwa litawasumbua sana, ndivyo mnavyoongopeana huko mitaani?
Kvip labda me Nimeona unajaza meseji nyingi kwenye uzi peke ako..kama kuna pumba uliziandika sijapata muda wa kuzisoma [emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli mchungu naona dawa imewaingia sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa ni mjuaji Alafu mweupe peeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio Ongera ni Hongera.
Punguza ujuaji utapakatw@ alafu wewe wakiume tabia za kusuta watu ni za kike ,linda m@rind@ yak0[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio Ongera ni Hongera.
Wewe subiri kwenye nafasi yako ya ukarani huko hapakuhusuKuna vijana wameanza ku ripot muda huu apa Nbs, ni wadogo wadogo... Nafatilia nijue wamefata nini na wanazidi kumiminika... Wameandaliwa ukumbi wa ngorongoro apa Nbs
Hahahaaa....Kuna vijana wameanza ku ripot muda huu apa Nbs, ni wadogo wadogo... Nafatilia nijue wamefata nini na wanazidi kumiminika... Wameandaliwa ukumbi wa ngorongoro apa Nbs
Hao nadhani ndo wamekuja na watapewa access ya mfumo ili kuchuja majina, nakumbuka kwa taarifa zenu za awali ilikuwa ni kwamba mngetumia watendaji kwamba mngewaita, mngewatrain na kuwapa access ya mfumo ili wachuje majina.Kuna vijana wameanza ku ripot muda huu apa Nbs, ni wadogo wadogo... Nafatilia nijue wamefata nini na wanazidi kumiminika... Wameandaliwa ukumbi wa ngorongoro apa Nbs
HahahaKuna vijana wameanza ku ripot muda huu apa Nbs, ni wadogo wadogo... Nafatilia nijue wamefata nini na wanazidi kumiminika... Wameandaliwa ukumbi wa ngorongoro apa Nbs
Huwa nakuelewa Sana haujawahi kutuangusha Kwa taarifa za ukweli na uhakika especially swala Hili nyeti linalotjumiza vichwa ubarkiwe sanaNdugu zangu, hawa vijana wametoka chuo Cha DIT dar, wamekuja kwa kazi ya kuwasha tablet zote na kuziwekea ulinzi pamoja na software wezeshi...
Kwahyo muondoe hofu[emoji1787]