Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Daah huu mchongo utakuwa balaa sanaInaweza ikafika million shekh.. billion 250 kulipa inawezekana beside hizo hela zinabaki hapahapa nchini wakikagua Kodi zao miezi miwili TU zisharud hazina
Shule ulienda kusomea ujinga?Hivi km umeombea (W)ilala kuna uwezekano kazi ukaifanyia wilaya ya ubungo?
ππΌππΌππΌNilitabiri juzi hapa watu wakaleta ubishiWekeni bando la kutosha masaa 72 yajayo kutakuwa na shangwe plus vilio
Mambo ya kubandika kwenye kata bila kuweka mtandaoni ni upuuzi mkubwa na nitawadharau sana bora wafanye kama anuwani za makazi majina yote yalikuwa mtandaoni.Haya leo muwe karibu na vyombo vya habari, wilaya nyingi zitatoa majina ya waliochaguliwa na kubandikwa aidha wilayani au kwenye kata
Acha fix mkuu, yaani kuku ameshalalia siku 19 then unasema ndani ya saa 72 vifaranga vinatotolewa halafu unatak tukuite mtabiri? πππππΌππΌππΌNilitabiri juzi hapa watu wakaleta ubishi
Sasa mkuu baadhi ya halmashauri washaanza kubandika. Huku Sikonge wana bandika leo nimeambiwaMambo ya kubandika kwenye kata bila kuweka mtandaoni ni upuuzi mkubwa na nitawadharau sana bora wafanye kama anuwani za makazi majina yote yalikuwa mtandaoni.
Unaelekea wewe ni mgeni kwenye uzi huu...ramli zilikuwa nyingi sana.ππ the most recent jana mtu alisema majina yatatoka tarhe 28 mwezi huu!!Acha fix mkuu, yaani kuku ameshalalia siku 19 then unasema ndani ya saa 72 vifaranga vinatotolewa halafu unatak tukuite mtabiri? πππ
Unaelekea wewe ni mgeni kwenye uzi huu...ramli zilikuwa nyingi sana.ππ the most recent jana mtu alisema majina yatatoka tarhe 28 mwezi huu!!
Hivyo nipe credit zangu mkuuπ€£π€£π€£
ππAcha fix mkuu, yaani kuku ameshalalia siku 19 then unasema ndani ya saa 72 vifaranga vinatotolewa halafu unatak tukuite mtabiri? πππ
Nilitoa hii ramli naona imetiki...cna Cha kuongezea..!! Hongera kwa waliopata na poleni mliokosa na ambao bdo kuona jina lako...may GOD be with you!!Maisha yanaenda taratibu sn...toka tar 5 may mkeka upo active na uhudhuriaji wa hpa unapendeza bt mkeka ukitoka either uchanike au uktick...tusiusahau uzi huu tuendelee kuhudhuria tu
Niwahakikishieni ndg zng....muda mrefu mmesubiri bt by ijumaa tar 15/7 majina tutayatoa na majina hayo yalitumwa tka katani kwa wale waliokapeleka form zao tu..!!
Ahsante nawasilisha !!
Hizo hongera kama hakun usahili..[emoji1787][emoji1787]Nilitoa hii ramli naona imetiki...cna Cha kuongezea..!! Hongera kwa waliopata na poleni mliokosa na ambao bdo kuona jina lako...may GOD be with you!!
Cheki ramli hii [emoji115]Kwan mujibu wa mwongozo ambao nimeusoma kuna sehemu niliupata jana.
Majina yanatangazwa tarehe 16-18
usaili tarehe 19-21.
Majina yatabandikwa kwenye kata yako.
kipaumbele wasio na ajira
Kuliona jina tu hongera muhimu mkuu....!! Dua zingne bdae maana hatua ya Kwanza wameinyanyua tayari,,,bdo mguu kutua ardhini !!Hizo hongera kama hakun usahili..[emoji1787][emoji1787]
We jamaa wa Moshi unafurahisha sn kila siku wa Moshi wa Moshi HAKUNA aliyekuja pm?Kwa aliyeko moshi naomba anipe updates pliz , je ni kata zipi zimenukisha !?