Na walimu ndio wanaochuja watu😄Just In:
Mchujo wa majina kwa level ya Kata kwa Arumeru, Arusha unafanyika leo na watendaji wa kata wamewaomba wakuu wa shule wawatumie majina ya walimu wa shule zao walioomba Sensa.
Hapa jobless tushapigwa goli la mkono
muhuni huyoo,,nishamreport tcra mwenye website hiyo afungiwe na afungwe jera.Umeihakiki kuwa ni kweli??
Majina umeyachekia wapi?Tumepita 23 lakini nilipata taarifa tunahitajika watu wa 3 tu kwenye kata yetu sa sijui kama kuna ukweli kwenye hili au vipi yani.[emoji1]
Kuna watu humu wana vituko mno, aise sio poaMajina umeyachekia wapi?
yamebandikwa katani huku nakapanyaMajina umeyachekia wapi?
nasikia kila kata wanahitaji wa 3 ,yamebandikwa katani huku nakapanya
Yaweke hapaKaliua washabandika na mimi nipo
Post nawewe uone kama ni raha uku ikiwa jina lako halipokila saa unapost zako huo upupu wako, unaambiwa taja wilaya ulipo unauchuna...punguza utoto
hatari sanaaaa mkuuMkeka wetu una makarani 177. Wanatakiwa 59 tu. Kazi kweli.Na hapo nimechungulia mtendaji yupo kwenye group la postcode .huenda wakachukuana kwa kigezo cha experience ya postcode.nchi hiiiiiii kujuana juana hakuwezi kuisha..!
Unaendeleza utoto wakoPost nawewe uone kama ni raha uku ikiwa jina lako halipo
ndio wanahitajika watatu tunasikia kila kata wanahitaji wa 3 ,
Bao la mkonoHii nchi ni ya hovyo sana,Nafasi ya msimamizi wa maudhui tayari ina wenyewe ambao ni walimu wakuu watakao fanyia watu usahili kwahiyo wasimamizi wa maudhui hatuna chetu tena [emoji22]
Wasimamizi wa maudhui?ndio wanahitajika watatu tu
kwanini ulichagua nafasi hiyo??au una elimu kubwaa sanaa mimi na degree ya electronics lakini nimeomba ukarani.Hii nchi ni ya hovyo sana,Nafasi ya msimamizi wa maudhui tayari ina wenyewe ambao ni walimu wakuu watakao fanyia watu usahili kwahiyo wasimamizi wa maudhui hatuna chetu tena [emoji22]
Mkuu umeandika kwa uchungu sanakwanini ulichagua nafasi hiyo??au una elimu kubwaa sanaa mimi na degree ya electronics lakini nimeomba ukarani.
Wewe hujaona jina lako tulia utahesabiwaUnaendeleza utoto wako
sasa wengine wakikosa hizi nafasi watapata hasiraa na itawafanya watu wajifungie ndani wasihesabiwe kabsaa maana inaumaa sanaaa kukosa mitaji ya biashara.Were hujaona jina lako tulia utahesabiwa
Labda wasimamizi wa maudhui, ila kwa makarani nakataa.ndio wanahitajika watatu tu