jamesmisana
Senior Member
- Dec 8, 2015
- 120
- 159
mimi naona ni bora wapewe jobless wa elimu ya juu kuanzia diploma na kuendelea wapate mitaji hasa upande wa makarani.sasa wengine wakikosa hizi nafasi watapata hasiraa na itawafanya watu wajifungie ndani wasihesabiwe kabsaa maana inaumaa sanaaa kukosa mitaji ya biashara.