Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Ukiacha Walimu wa Msingi,hakuna form four jobless wala certificate atakaepata hii kazi ya Sensa labda huko Vijijini kusiko na Wasomi.
Acha kujifariji mkuu hizi kazi hazihitaji elimu kubwa bali uelewa tu wa kawaida. Nakuhakikishia kundi kubwa litakalochaguliwa wengi ni form 4 jobless huwezi amini.

Nakwambia haya kwasababu nina uhakika na ninachokiongea. Kama huamini ni suala la muda tu.

Hao walimu unaowataja wengi wao wamepigwa chini kwa baadhi ya wilaya na kuna wilaya hazijatangaza hadharani kuwapiga chini ila watakatwa juu kwa juu.

Watumishi wa umma na wenye ajira watafikiriwa kama option ya pili.
 
Unamaanisha nin kaka, maana binafsi Niko totally disappointed na mchezo waliotuchezea walimu wakishirikiana na interviewers, ambao ni walimu wakuu. Maybe nikisikia neno toka kwako nitafarijika japo kidogo [emoji848]
Kifupi ni kuwa kama huna connection hesabu maumivu,na kubwa zaidi nahisi haya ni maelekezo kutoka NBS kuwa Viongozi wa Mitaa/Vijiji na Kata/Vitongoji walipewa majina na NBS au walipewa maelekezo kuwa wachague watu wanaona wanafaa kufanya hii kazi vigezo ni Elimu na background ya mtu husika anaeishi huo mtaa. Nawasikitia vijana masikini wa Kitanzania hasa form four waliohangaika na wanaoendelea kuhangaika na zoezi hili LA sensa wakikaa juani na kwenye mvua wakiwa na njaa kuanzia alfajiri mpaka jioni.
 
Muda ndio msema kweli,hutaamini macho yako.
 
Acha kuwakatisha tamaa vijana, Muda ndo utaongea ukweli So, Let's Wait...
 
Mbona kwenu mlipata raha huku kwetu dogo anasema majina yalitoka tareh 19/7/2022 usiku saa 2 alafu tareh 20/7/ usaili ...
Hapo vipi mkuu ? Dogo ananilalamiki kwann nilimshawishi aombe kata ya kiboya kiasi ichi 😃😃😃😃
 
Huo ndio ukweli japo ni mchungu mno,Serikali haiwezi kupoteza mabilioni ya hela kwa kuwapa kazi nyeti kama Sensa form four na Vijana wasiojulikana backgrounds zao.
Umeongea kwa uchungu kwa vijana wategemea miujiza, Kuna miujiza miwili katika maisha nayo ni bahati(Mungu) na kujituma(Elimu) na vyote vinategemeana
 
Za chini ya kapeti kutoka kijijini :mdau wangu kanitonya kuwa kuna tetesi za watu kutoa rushwa michongo imeshaanza baada ya usahili.

#HiiInchiNgumuSaana...
 
Hiyo ni C++ computer language
Sasa kwa akili yako hiyo idea kwenye sensa itakusaidia nin.......... Halaf nimesema leta technology wewe unaleta maswali ya lugha
 
Tumeitwa usaili makarani 40
Maudhui 19
Tehama 1
Jumla 60
Waliofanikiwa kufika sikua ya usaili 50
Jumla ya mitaa katika 17+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…