Mkuu hata wewe ungekuwa msaili sehemu yenye watu shazi kama mbagala huko siyo rahisi Kabisa kila mtu umuhoji maswali yote lasivyo mtakaa hata siku 2 mkifanya usaili,namiin hilo la watu kuulizwa swali moja pengine wangeuliza kila mtu maswali yote wasingetimiza lengo la siku kwaiyo kilichokuwa kinafanyika ni kupita kwa speed kwa baadhi ya watu ukiwa na bahati mbaya ndiyo kama hivyo, pia unaeza pita japo mtu kaulizwa swali moja ikitegemea msaili alikuwa anahitaji mtu wa namna ganiAcha ligi kuna baadhi ya watu wameulizwa hivyo huku kwetu ndio maana walienda spidi mtu unatoka mpka unashangaa . msiteteane hapa wazee wa system
Halafu chengine sasa
Mimi mdogo angu kaulizwa lile swali la upo tayari na zoezi la sensa kajibu ndiyo wakaangalia na vyeti imeisha hyo
We jamaa hujawahi kufanya usaili zaidi ya huu itakuwa,nina hakika ni mgeni Kabisa wa interviews,usaili unaweza ulizwa ndio unaitwa Nani sasa anaweza akakosea kujibu mtu anaweza jibu naitwa Peter,sasa huyu Peter msaili atakuwa kashamuona hata yeye mwenyewe hajui kujitambulisha Vizuri, mwengine anaulizwa unaitwa Nani anaweza jibu mimi. Yani anaulizwa swali lkn na yeye anajiuliza, kwaiyo confindence inaweza kufanya ukakosa swali rahisi tu hata jina lako usiweze litaja lote,kuna ambao kwenye usaili wakiingia hawasalimii Kabisa yani mtu anasimama tu kama roboti anasubiri maswali,sasa ukikutana na kisirani huna bahati [emoji2]Ni kweli kuna MTU kaulizwa pia jina lake tuu kisha usail ukaisha . NA wakat jina liko kwenye vyet alivyowakabiz
]
kuangalia vyeti ni hatua ya mwisho, alivukaje foleni ya usaili mkuu mbona mnatulisha tango pori?Yaani huu usaili umekaa kimchongo walai, kuna Dada huku yeye hajaulizw swal lolote kabisa. Anasema waliangalia vyeti tuu. Usail ukaisha huyu naye atapata marks 50
Tuelekeze kwenye usaili ukifika unasalimia vipi??We jamaa hujawahi kufanya usaili zaidi ya huu itakuwa,nina hakika ni mgeni Kabisa wa interviews,usaili unaweza ulizwa ndio unaitwa Nani sasa anaweza akakosea kujibu mtu anaweza jibu naitwa Peter,sasa huyu Peter msaili atakuwa kashamuona hata yeye mwenyewe hajui kujitambulisha Vizuri, mwengine anaulizwa unaitwa Nani anaweza jibu mimi. Yani anaulizwa swali lkn na yeye anajiuliza, kwaiyo confindence inaweza kufanya ukakosa swali rahisi tu hata jina lako usiweze litaja lote,kuna ambao kwenye usaili wakiingia hawasalimii Kabisa yani mtu anasimama tu kama roboti anasubiri maswali,sasa ukikutana na kisirani huna bahati [emoji2]
Ukipata ya mtwara kata ya LIKOMBEWataalam wa Tehama MtwaraView attachment 2302075
hapo uko sahihi kabisaa mkuu,We jamaa hujawahi kufanya usaili zaidi ya huu itakuwa,nina hakika ni mgeni Kabisa wa interviews,usaili unaweza ulizwa ndio unaitwa Nani sasa anaweza akakosea kujibu mtu anaweza jibu naitwa Peter,sasa huyu Peter msaili atakuwa kashamuona hata yeye mwenyewe hajui kujitambulisha Vizuri, mwengine anaulizwa unaitwa Nani anaweza jibu mimi. Yani anaulizwa swali lkn na yeye anajiuliza, kwaiyo confindence inaweza kufanya ukakosa swali rahisi tu hata jina lako usiweze litaja lote,kuna ambao kwenye usaili wakiingia hawasalimii Kabisa yani mtu anasimama tu kama roboti anasubiri maswali,sasa ukikutana na kisirani huna bahati [emoji2]
Tushafanya saili mpaka njee ya hii galaxy, kuna jamaa humu kasema maswali lazima yawe matano. Mim ndo nkamjibu kuna watu wameulizwa swali moko tuuWe jamaa hujawahi kufanya usaili zaidi ya huu itakuwa,nina hakika ni mgeni Kabisa wa interviews,usaili unaweza ulizwa ndio unaitwa Nani sasa anaweza akakosea kujibu mtu anaweza jibu naitwa Peter,sasa huyu Peter msaili atakuwa kashamuona hata yeye mwenyewe hajui kujitambulisha Vizuri, mwengine anaulizwa unaitwa Nani anaweza jibu mimi. Yani anaulizwa swali lkn na yeye anajiuliza, kwaiyo confindence inaweza kufanya ukakosa swali rahisi tu hata jina lako usiweze litaja lote,kuna ambao kwenye usaili wakiingia hawasalimii Kabisa yani mtu anasimama tu kama roboti anasubiri maswali,sasa ukikutana na kisirani huna bahati [emoji2]
Samtaim tunafanya dili hatareee sana majobleeeeees tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana.......Song:,Majobless
Artists: Big dog Pose (BDP).
We mgeni wa interviews usingekuwa mgeni usingeshangaa kuulizwa jina lako NaniTushafanya saili mpaka njee ya hii galaxy, kuna jamaa humu kasema maswali lazima yawe matano. Mim ndo nkamjibu kuna watu wameulizwa swali moko tuu
]
Ukiijua jinsia ya mwenyekiti wa Sensa hutauliza hilo.Naona mpaka AJIRA ZA SENSA KIPAUMBELE Ni KWA Wanawake hebu fatilieni hizi PDF za waliotusua
Sio sawa ata kidogo wanaume tudai haki zetu[emoji23]
Alafu vijana wakipata mijimama ikiwalea kelele nyingi sijui kibenten [emoji28][emoji28]Sio sawa ata kidogo wanaume tudai haki zetu[emoji23]
Kama unaifahamu hii nyimbo basi wewe utakuwa ni muhenga mwenzangu πππSamtaim tunafanya dili hatareee sana majobleeeeees tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana.......