Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Majina yanatangazwa na kata kabla ya NBS, nini maoni yako?Mkuu acha kuwasikiliza watu kama hawa kazi yao ni kupotosha tu hawana uhakika na jambo ila wanajaribu kuchomekea mambo kama hayo ili waone kama kweli kuna watu wamepigiwa simu.
Yeye mwenyewe hapo alipo ni kama hajiamini anaulizia taarifa kiaina.
Majina yote yatatangazwa rasmi na NBS na kubandikwa katani. Hata hao watendaji wa kata hawajui chochote kuhusu majina yatakayotoka.
Jukumu lao lilikuwa ni kuwasaili tu na kutoa mapendekezo kwamba majina haya ndo wamepata alama za juu lakini mwisho wa siku kamati ya sensa ya wilaya ama mkoa wanaweza kutoa orodha nyingine kwa kuchanganya majina ya waliopendekezwa na kata pamoja na ambao wameonekana kuwekwa pembeni.
Hapo unajishindia manamba baada ya sensa unaanza kumla mmoja baada ya mmoja
Kufikia kesho tutakua tunaandaa mazishi ya huu uziMajina yakitoka yote huu uzi unakufa
Hakuna cha NBS wala nini zoezi zima limeishia katani.Majina yanatangazwa na kata kabla ya NBS, nini maoni yako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samtaim tunafanya dili hatareee sana majobleeeeees tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana.......
Hao watu wa TEHAMA wanatakiwa wangapiWataalam wa Tehama MtwaraView attachment 2302075
Mbona huku Bongo hakukuwa na mambo mengiAisee,nilihangaika sana kufika kenye usaili.wilaya yetu ilikiwa ya mwisho kutoa majina ya walioitwa kwenye usaili.wakati yanatoka nilikuwa niko kigoma kuripoti ajira mpya.sasa ikanidi niombe ruhusa fasta ya kwenda kujiandaa siku 14.
Majina yalitoka j5 usaili alhamis, nikapita halmashauri nikasainiwa fomu.nikapanda mchomoko,gari wazotumia kusaria hadi kasulu.nikasubiri gari kutoka kigoma mjini ikafika kama satano imejaa balaa,nikaona isiwe tabu nisimama hapo naelekea mwanza.aisee nilosimama miguu ikawa inawaka moto.tulika kibondo saa kumi jion.nikaona hapa usaili umeshanipita mana uhakika wa kufika mwanza siku hiyo haukuwepo.
Basi tukaendelea na safari hadi lunzewe tulifika sa2 usiku ikabidi kulala pale.asubuhi siku ya usaili ndo natoka lunzewe kupitia Geita hadi busisi.matuaini yakaanza kurejea tulipofika kivukoni busisi sa tano huvi...vha kushangaza mtandao wa kufika tiketi kivukon ukaroga nikasubiri lisaa pale.nilivuka kama sa sita na ushee.kwa ujumla nilifika kisesa magu saa 8 Nikita watu wengi mno.
Kwenye usaili;waliokuwa nahoji watu walikuwa wamechoka yani tulikiwa tumefungiwa kwenye ofisi akija anaita watu ka sita,baada ya dktatu anarudi tena.
Kimbembe kilikuja nipoitwa nakambiwa taja majina yako na elimu...naitwa x nina bachelor degree. Hee wakashangaa,degree ya nini...elimu mwaka 2015...hujaajiliwa ...ndio bado...wewe tambi lote hilo hujaajiliwa...nikaona isiwe tabu...napiga partime shule x ...hapo sawa.
Sijui kwanini walikiwa nauliza sana kuhusu ajira.
Hapana utaendelea kuwepo kwa ajili ya kuhabarishana kuhusu malipo ya Sensa hauwezi kufa mpaka zoezi liishe lote.Majina yakitoka yote huu uzi unakufa
Mwongozo huo hapooHapana utaendelea kuwepo kwa ajili ya kuhabarishana kuhusu malipo ya Sensa hauwezi kufa mpaka zoezi liishe lote.
Naomba unitumie hik kitabu
Wachache ambao wapiga kazi wengi ila wengine haswa masista duuh hawataweza nimeona kwenye postikodi mwanzoni,wanawake wanaacha kabisa au kazi inachelewa akisema kachoka kachoka.Sio sawa ata kidogo wanaume tudai haki zetu[emoji23]
Mkuu katani kwako majina yameshatoka au bado?
Huo.mchakato ndio upo hivyo ?Mtakaopata nafasi hizi bila connection mje hapa mtoe ushuhuda ili kuwa prove wrong hawa wakatisha tamaa.
Majina mengine yamepelekwa wilayani na mengine yanaendelea kupelekwa kwa ajili ya uhakiki kisha yanatumwa NBS kwa ajili ya kutangazwa rasmi kwenye tovuti.
Mtaannkwangu ktk postikodi alikuwa ana tuhoji sister duu eti alikuwa ana kodi boda boda inamtembezaWachache ambao wapiga kazi wengi ila wengine haswa masista duuh hawataweza nimeona kwenye postikodi mwanzoni,wanawake wanaacha kabisa au kazi inachelewa akisema kachoka kachoka.
Kutembea na kuhoji watu sio mchezo kama nilivyoona madodoso ni 5 dadeki lets wait and see
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sijaona sehemu ya muhimu sehemu ya kuzingatia sehemu ya msingi hapo