Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za maudhui zimenisikitisha Sana wamepeana wenyewe tu
Nafasi hizo ni maagizo moja kwa moja toka NBS na hao Walimu Wakuu ni automatically selected bila usahili sawasawa na maagizo husika.
Tatizo muongozo wa hii sensa haujatolewa wote ndiyo maana mkanganyiko huu umetokea. NBS hawakusema wazi kua hizo nafasi ni kwa watu maalumu tu bila usahili.
 
Ivi na kulikuwa na option ya kuomba nafasi 1 tu
 
Wapi nimeilaumu serikali mkuu? Najaribu kutoa angalizo tu.

Halafu unaposema uliniambia, kwani uliniambia nini mkuu?
Nilikwambia kila kitu kinaishia kwenye Kata huku wafanya maamuzi wakiwa ni Walimu Wakuu,Mtendaji na Diwani ukabisha kuwa mambo yote yanaenda kumalizwa na NBS na hakutakuwa na upendeleo wala connection.
 
Ujinga mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…