Mtwara majina yametoka tokea juzi ila semina tarehe 29.Ratiba inasemaje kuhusu kuanza semina, mbona kama inaonesha tarehe 27 yaani kesho ndiyo semina inaanza, kama mpaka sasa hayajatoka majina ya usaili inakuwaje? Msaada
Wanatoa Tar 28, AlhamisIla kuna mikoa ina mambo ya hovyo sana, sasa hayo majina wamekaa nayo ya nini mpaka muda huu?
😂😂😆 hii inchi ngumu sana ..Ila kuna mikoa ina mambo ya hovyo sana, sasa hayo majina wamekaa nayo ya nini mpaka muda huu?
Mzee nakumbuka ulikua unapambana sana kuanzia siku ya maombi mungu akujalie upate mkuuMoshi vijijni. Vipi wakuu
Jamani mliopata njooni mtoe ushuhuda account zenu za nbs zipoje? Kuna mabadil
Binafs,, cjafankiwa kuchek Account yang ya NBS lakin jina langu limetoka. Halmashaur ya Mtama- LindiJamani mliopata njooni mtoe ushuhuda account zenu za nbs zipoje? Kuna mabadiliko yoyote ?
Mkuu, hakuna mabadiliko yeyote.Jamani mliopata njooni mtoe ushuhuda account zenu za nbs zipoje? Kuna mabadiliko yoyote ?
Jamaa ana mzuka sana inaelekea majina yakitoka na jina lake likiwemo atafanya hata kaparty cha kujipongeza.Mzee nakumbuka ulikua unapambana sana kuanzia siku ya maombi mungu akujalie upate mkuu
Kwa mambo yanavyoenda ukipata inabidi ka party kahusike kweli [emoji1787]Jamaa ana mzuka sana inaelekea majina yakitoka na jina lake likiwemo atafanya hata kaparty cha kujipongeza.
Hongera sana kwako, jaribu kuingia uone kuna update yoyoye au ujumbe wowote hukoBinafs,, cjafankiwa kuchek Account yang ya NBS lakin jina langu limetoka. Halmashaur ya Mtama- Lindi
Hongera sana kwako, jaribu kuingia uone kuna update yoyoye au ujumbe wowote huko
check utoe mrejesho sahv,nataka nijue aiseeSawa nitatoa mrejesho
Link zmefungwa, hakuna chochote nafkir kwakua kaz walpew ngaz ya katacheck utoe mrejesho sahv,nataka nijue aisee
Link zmefungwa, hakuna chochote...Nafkir kwakua waliwapa jukum ngaz ya kataHongera sana kwako, jaribu kuingia uone kuna update yoyoye au ujumbe wowote huko