Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kwema ndugu,

Naomba kufahamu majina ya waliobahatika sensa upande wa morogoro washatoa.

Mwenye nayo naomba link
 
Hili swala la a anwani za makazi sizani kama linauhalisia,mfano kwenye kata yetu tulio chaguliwa almost watu wote hawakushiriki hilo zoezi, watano kati ya 42 ndo walishiriki anwani za makazi
 
Kabisa ni kushukuru tu Mungu
 
huku nilipo mpaka sasa hawajatoa majina na ni kijijini ....nasema hivi nikikosa hii kazi wakawa hesabu paka na mbuzi shenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…