Pinacolada
Member
- Jun 30, 2022
- 22
- 57
Nimeamka nimekutana na mkeka wa Temeke, moja kwa moja nikatype jina langu nimelikuta kama MSIMAMIZI WA MAUDHUI.
Jobless naenda kupata mtaji hapa.
AL HAMDU LILLAH. . !
Typying error maana makarani wote mmekua wasimamizi wa maudhuiNimeamka nimekutana na mkeka wa Temeke, moja kwa moja nikatype jina langu nimelikuta kama MSIMAMIZI WA MAUDHUI.
Jobless naenda kupata mtaji hapa.
AL HAMDU LILLAH. . !
Kisa wewe umepata?Temeke do wamefanya haki
Sasa ramli za malipo ngazi ya kata zianze
makarani 3333 wewe ukikosa basi haikua ridhiki yako tu maana ni idadi kubwaa sanaa hyo.Kisa wewe umepata?
Sijakuelewa unamaanisha nini ila kama key point yako ni maswala ya rushwa basi sijatoa hata senti5 na wala sina connection yoyoteUlitoa shingapi
TUSIRUHUSU NJAA ZETU ZILIZO TUMBONI ZIKAHAMIA KICHWANI.Typying error maana makarani wote mmekua wasimamizi wa maudhui
HongeraSijakuelewa unamaanisha nini ila kama key point yako ni maswala ya rushwa basi sijatoa hata senti5 na wala sina connection yoyote
Huna lolote,umeomba then umepigwa chini sasa hapo roho inakuuma......[emoji23][emoji23][emoji23]Poleni sana vijana mimi pia ni mtumishi sijaomba hizi kazi ni aibu kwakweli nimesikitishwa na kitendo cha watumishi wenzangu kupewa hizi nafasi .bado hazitawasaidia wataendelea kuwa mafukara hasa wale washika Chaki
Poleni sana mtapata bora kuliko hizo sensa zao vijana wangu jobless mliokosa
100k/dayRamli vipi wakuu za malipo maana hi Kaz wengi mmepata nondo humu za usaili
Ni buku 2 mkuu
Mie nmesikia 50k per dayNi buku 2 mkuu
Kwahyo kuonyesha huruma yangu na kuwatetea hawa vijana jobless ni mpaka niwe nimeomba nimekatwa? Nimeshindwa kuielewa hii komenti yakoHuna lolote,umeomba then umepigwa chini sasa hapo roho inakuuma......[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mna roho mbaya sana haiwezekani mkeka wetu jobless tupo wanaume wawili wote ni watumishi tena wanawake ni wengiHuna lolote,umeomba then umepigwa chini sasa hapo roho inakuuma......[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Watumishi waelewe mpo [emoji120][emoji120][emoji120]Kwahyo kuonyesha huruma yangu na kuwatetea hawa vijana jobless ni mpaka niwe nimeomba nimekatwa? Nimeshindwa kuielewa hii komenti yako
Yaani mtu akitoa maoni Mnapenda ku assume tu mwanamke akitetea single Maza ataitwa single Maza ukiwa against lazima mtumie personal attack ..grow up na bado naona emoji za kucheka japo ni inaleta ukakasi mwanaume kucheka cheka unazitumia kipi kinafurahisha mkuu embu tuambie tucheke wote humu ndani ?
Sio kama mimi ni msaliti hapana najua nilipotoka watumishi tumezidi tamaa siku mkiwa na vijana jobless mtaelewa namaanisha nini
Pamoja mkuu japoWatumishi waelewe mpo [emoji120][emoji120][emoji120]
Nilijua wote ni wangeserema
Mmmmh inawezekanaje hyo!! Au mkeka wa mwanzo ulikuwa wa usahili we ndo umejichanganya.Kata yetu wamebadili majina tena, kutoka 282 hadi 162, kuna watu majina yao hayakuepo awali ila mkeka mpya wamo.
hahahahaha utakula tunda kimasihara kunguru wa manzese ,sema umepotea sanaa kiongozi au mshaitwa interview dodoma?Mna roho mbaya sana haiwezekani mkeka wetu jobless tupo wanaume wawili wote ni watumishi tena wanawake ni wengi
Lazima tuwagongee wake na dada zenu tutatengeneza mazingira kipindi cha semina [emoji39][emoji39][emoji39]
Nimejichanganya vipi? Usaili tulikua 566, baada ya usaili Mkeka ukatoka na watu 200+, tarehe 29 usiku wakabandika mwingine, wengine wameondolewa, kuna watu walikosa mwanzo ila wakaonekana wamepata. Idadi imepungua hasi 160+Mmmmh inawezekanaje hyo!! Au mkeka wa mwanzo ulikuwa wa usahili we ndo umejichanganya.