Mmeshakamata pesa au bado?Jamani mwenye muongozo wa maswali ya mzee matata kipepeo jungu autupie hapa, maana tunasomewa na kujaza dodoso kwa haraka
Soma mageresho jombaa temana na Muiteni na KidawaJamani mwenye muongozo wa maswali ya mzee matata kipepeo jungu autupie hapa, maana tunasomewa na kujaza dodoso kwa haraka
Umetengeneza tatizo kichwaniPosho 40 per day for 16 days dodoso lina maswali 100 kwa kila mwanakaya unaenda kumuhoji mwanakaya ambae ana uchungu ameongezewa mshahara wa 10,000 kwa kipindi cha miaka 6 wananchi ambao petrol inazidi kupanda na kuleta hali duni
Huo mda unamuhoji maswali 100 kwa kila mwanakaya unamlipa [emoji16][emoji16][emoji16]
Alafu kwa posho gani Mara uanze kukagua vyeti kama viko sahihi afisa karani unageuka afisa usalama na afisa Rita kwa posho ya 40k
Hili zoezi litakuwa LA ovyo sana
awhhh kulewa mhimu ila mihata sikomba nafasi izo walaAch
Unawaza kulewa tuu ndio maana umekosa ukarani
Wewe kama siyo mzalendo huwezi fanya hii kazi,uzalendo kwanza kazi iendelee,kazi iendelee uzalendo kwanzaPosho 40 per day for 16 days dodoso lina maswali 100 kwa kila mwanakaya unaenda kumuhoji mwanakaya ambae ana uchungu ameongezewa mshahara wa 10,000 kwa kipindi cha miaka 6 wananchi ambao petrol inazidi kupanda na kuleta hali duni
Huo mda unamuhoji maswali 100 kwa kila mwanakaya unamlipa [emoji16][emoji16][emoji16]
Alafu kwa posho gani Mara uanze kukagua vyeti kama viko sahihi afisa karani unageuka afisa usalama na afisa Rita kwa posho ya 40k
Hili zoezi litakuwa LA ovyo sana
Sensa hii imejaa maajabu sanaili zoezi ni gumu kuanza kumhoji mtu maswali100 mmh walitakiwa wachukue taarifa muhimu tu ,
Jina,umri,jinsia,alama za dole,au picha,
the rest izo dodoso sijui unatembeaje unalalaje, unashabikia tim ip iwe optional
haieleeeweki wanataka idadi au taarifa zakilamtu au vyoteSensa hii imejaa maajabu sana
Ndo nan huyo mkuu! Fanya manuva unisanue ata kwa mishe zingine kwa hapo badae nianze kumpanga saizi! πππPole sana,ungemcheki Dr angekufanyia manuva.
Siku sita za kuhesabu posho ilikuwa 100000 , ikashushwa mpak 80000 , jamaa watatoka na hela nzuri , vijana mliopata itumieni vyemaMafunzo yameanza 31 mpaka 18 jumla siku 19 Γ 40,000 760k pamoja na siku 6 za sensa 6Γ40=240k Jumla 1m (inasemekena kutakuwa na siku 3 za majaribio field sina uhakika)
Miaka yote ndivyo ilivyo haswa kwa dodoso refu.Maswali huwa ni mengi kutambua hali za elimu,uhamiaji,afya n.khaieleeeweki wanataka idadi au taarifa zakilamtu au vyote
Miaka yote ndivyo ilivyo haswa kwa dodoso refu.Maswali huwa ni mengi kutambua hali za elimu,uhamiaji,afya n.kSensa hii imejaa maajabu sana
Mambo yameivaWEKENI NI NAFASI ZA WASIO NA AJIRA KABISA...
Sidhani kama ni kweli.Ila binafsi ni msimamizi wa IT sasa wakitukatisha mafunzo wakienda huko field watapambana wenyewe na vishikwambi [emoji3]Hakuna field nje ya Siku 19 za mafunzo field ni ndani ya Siku 19 za mafunzo [emoji16][emoji16] ratiba inasomeka kwamba
ijumaa ya tarehe 12 August 22 saa moja na nusu mpaka saa nane na nusu mazoezi uwandani (ndio field yenyewe )
Jumatatu tarehe 15 august 22 saa moja na nusu mpaka saa nane na nusu mazoezi uwandani kuhoji dodoso la majengo (field hiyo)
Mwisho wa mafunzo kwa makarani ambao hawatashiriki dodoso la jamii ni tarehe 15 August 22
Makarani watakaoshiriki dodoso la jamii wataenda uwandani alihamisi ya tarehe18 august 22
Kila karani anatakiwa kuhesabu kaya 25 kwa Siku kwa hiyo itategemea na EA yako, ikiwa EA yako itakuwa na kaya 150 zoezi litachukua Siku 6 kukamilika
Alafu posho yenyewe ni 40000. Wanazingua SanaHaya mambo ya kutoana saa 2 huku TANGA ni upuuzi
Naomba kuuliza wanaoishia tar 15 je wataendelea kulipwa posho kuelekea sensaHakuna field nje ya Siku 19 za mafunzo field ni ndani ya Siku 19 za mafunzo [emoji16][emoji16] ratiba inasomeka kwamba
ijumaa ya tarehe 12 August 22 saa moja na nusu mpaka saa nane na nusu mazoezi uwandani (ndio field yenyewe )
Jumatatu tarehe 15 august 22 saa moja na nusu mpaka saa nane na nusu mazoezi uwandani kuhoji dodoso la majengo (field hiyo)
Mwisho wa mafunzo kwa makarani ambao hawatashiriki dodoso la jamii ni tarehe 15 August 22
Makarani watakaoshiriki dodoso la jamii wataenda uwandani alihamisi ya tarehe18 august 22
Kila karani anatakiwa kuhesabu kaya 25 kwa Siku kwa hiyo itategemea na EA yako, ikiwa EA yako itakuwa na kaya 150 zoezi litachukua Siku 6 kukamilika