Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 374
- 484
Mbona mtihani ulikuwa wa kawaida kiasi kwamba ata mtoto wa shule ya msingi mwenye uelewa mzuri anaweza kujibu na akapata 50/50 mkuuBasi kama ndio hivyo hizo nafasi wangepewa graduate tu, uwezo wa kufikiri na kushika mambo hauwezi uwa sawa kati ya Form IV na GRADUATE.
Na huo ndo ukweli mkuuMbona mtihani ulikuwa wa kawaida kiasi kwamba ata mtoto wa shule ya msingi mwenye uelewa mzuri anaweza kujibu na akapata 50/50 mkuu
Ili zoezi unajua Wana host Walimu so zero iqMbona sisi tunatishwa huku kwamba ukifeli unaliwa kichwa yaan unaondolewa
Wanasema msijidanganye kuna watu wengi tu rezevu wataletwa
Unasahau kuwa upo kwenye nchi ya vitisho? Hapo wanachukulia kuwa wote humo ndani ni walimu,maana wamezoea kuwatisha Tisha utafikiri MTU Hana vyeti.Hao waseminishaji ni maafisa elimu kata vitisho ndo wanajua kuliko utendaji kaziMbona sisi tunatishwa huku kwamba ukifeli unaliwa kichwa yaan unaondolewa
Wanasema msijidanganye kuna watu wengi tu rezevu wataletwa
Sawa mnywa virobaNa bado unaumia ukiwa wapi na uhakika 100% ata ukiniweka apa kwa kazi ya kipuuzi uliyopata kwa kujuana huna kitu kichwani
Sawa mvaa mlegezoJiweke wewe basi [emoji28][emoji28] wivu wa kingese huo
Nimesoma huko juu wananiambia Nina wivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yote tisa,10 huu ni utoto sana, mkuu kama ulivyosema , vijana muda mwngne hawaaminiki kwa mambo kamq haya,
Una WIvu Sana uoNimesoma huko juu wananiambia Nina wivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana hawaaminiki sababu ya mambo ya ovyo.
Sensa selection imechuka vijana wa ovyo.[emoji2]
UchukueUna WIvu Sana uo
Punguza makasiriko mkuuNimesoma huko juu wananiambia Nina wivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana hawaaminiki sababu ya mambo ya ovyo.
Sensa selection imechuka vijana wa ovyo.[emoji2]
Sawa bwana karani[emoji2]Punguza makasiriko mkuu
Natilia mkazo hapa[emoji375][emoji375][emoji375]Sawa bwana karani[emoji2]
Pambana na mtihani hapo hapo mafunzoni.
Ukipata huo mpunga njoo uwekeze kitaa Kaa mbali na mademu.
Hilo godoro inchi 20 au?Godoro 350k
Feni. 50k
Carpet. 20k
Gas. 50k
Bedsheets 40k
Total 510K
Itakayobaki namtumia Mama kijijini ili ale bata
Noted mkuu nitalifanyia kaziSawa bwana karani[emoji2]
Pambana na mtihani hapo hapo mafunzoni.
Ukipata huo mpunga njoo uwekeze kitaa Kaa mbali na mademu.
Nchi 12 Vita Extreme mkuuHilo godoro inchi 20 au?
Nadhan bei yake ni 230k brother
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu hilo godoro ubora wake upoje nafikiria kununua godoro jipya hili limechoka Sana [emoji28]Nchi 12 Vita Extreme mkuu
Haya makadirio nimeyapenda sana yananishawaishi naona upo kama mimi yani [emoji28][emoji28]Godoro 350k
Feni. 50k
Carpet. 20k
Gas. 50k
Bedsheets 40k
Total 510K
Itakayobaki namtumia Mama kijijini ili ale bata