Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Vijana tunaharaka Sana, kama ipo ipo tu mimi nilituma na maombi yakapokelewa kabla hiyo batani ya jinsia haijawekwa Sasa kama watanifyeka hiyo itaitwa ni sababu iliyo inje ya uwezo wangu Maisha yanaendelea, Cha msingi usiipigie mahesabu Hela unayotarajia kuipata bali ipigie mahesabu hela uliyonayo
 
Malipo haizidi laki tano
acha uongo wewe,serikali imetenga B 600 kwa ajili ya sensa..ni gharama kubwa zaidi kuliko miaka yote tokea tupate uhuru.Kwenye malipo hata kila mmoja kati ya watu laki 2 na elfu 5 akapewa milioni milioni itakua imetumika B 205 tu hivyo malipo awamu hii watayafikiria japo mpaka muda huu bado hawajota scale maalumu.Cha muhimu usipigie bajeti pesa ambayo hujaipata pigia bajeti pesa uliyo nayo kwa sasa

MAMBO YA NGOSWE MUACHIE NGOSWE.
 
Kwani pesa yote ni kulipa tu posho za hao makarani,msimamizi maudhui na mtu wa TEHAMA? Yaani hakuna kutoa nakala za dodoso,nakala za miongozo ya semina,semina za waratibu n.k?Yaani ulitarajia bajeti ya sensa 2012 ikaribiane na ya 2021?Unakumbuka bajeti nzima ya mwaka wa fedha 2012?unaweza kulinganisha na bajeti ya serikali mwaka 2021?
 
Jamaa halijui kuwa pesa iliyotengwa kwaajili ya sensa inajumuisha manunuzi ya tablet kwaajili ya makarani pia kuna ile 10% ya mtoa zabuni
 
Kama hujui kitu kaa kimya tu 2012 nikiwa bado young nime fanya sensa na tulipata pesa nzuri tu kuzidi iko kiasi ulicho kiandika hapa hivo usiwakatishe watu tamaa kwa kutaja usicho kua na uhakika nacho
ulifanya kama karani au Maudhui,, maana Nimesikia Nafasi ya Maudhui wanapata Watumishi wa serikali
 
Kuna uwezekano mkubwa wa idadi ya waombaj kufika milion
Kama hujui kitu kaa kimya tu 2012 nikiwa bado young nime fanya sensa na tulipata pesa nzuri tu kuzidi iko kiasi ulicho kiandika hapa hivo usiwakatishe watu tamaa kwa kutaja usicho kua na uhakika nacho
Habari nilizopata kutoka vyanzo vinavyo aminika malipo ni 1.5M na posho ni 350k kwanzia kwenye semina had siku ya kazi kila siku ni 350k kwaajili ya kula,mavazi na malazi
 
Habari nilizopata kutoka vyanzo vinavyo aminika malipo ni 1.5M na posho ni 350k kwanzia kwenye semina had siku ya kazi kila siku ni 350k kwaajili ya kula,mavazi na malazi
Kwa nafasi ipi?
 
Habari nilizopata kutoka vyanzo vinavyo aminika malipo ni 1.5M na posho ni 350k kwanzia kwenye semina had siku ya kazi kila siku ni 350k kwaajili ya kula,mavazi na malazi
MashaAllah, kwel si haba kwa kazi ya muda
 
Habari nilizopata kutoka vyanzo vinavyo aminika malipo ni 1.5M na posho ni 350k kwanzia kwenye semina had siku ya kazi kila siku ni 350k kwaajili ya kula,mavazi na malazi
Hakuna kitu kama hiko...labda kwa waratibu wa mkuo na wilaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…