Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanaotumika mara nyingi kwenye kazi kama hizo..refer uchaguzi..halafu ni rahisi kuwapata ikitokea wakiharibu..sasa wewe tukikupa laki tano kabla then uende ukafanye kazi yetu si ajabu ukatokomea mazima..bado mna ujana sana..sio kwamba nawatetea walimu hapana!Walimu wanaendekeza sana njaa, mbona watumishi wengine wamekausha tu??
Walimu wanaendekeza sana njaa, mbona watumishi wengine wamekausha tu??
Kila halmashauri wana utaratibu wao.Wakuu wa shule na walimu wakuu jana ijumaa wameagizwa kutuma majina ya walimu wote iwe wameomba au hawajaomba kazi ya sensa...majina yote yatumwe halmashauri...imetokea Meru DC
Penye wengi Kuna mengi, kwenye swala la pesa kila mtu ataongea lake ili ajipromote yeye nahuu ubinafsi ndounaacha tuwe masikini wakutupwa hususani sisi daraja lachini including hii Mialimu inanuka njaa kali na ndio maana mshahara ukitoka tu yenyewe ndoinaleta foleni kwenye benki utakuta imejazana michafu nguo ndohizohizo yani makerere tupu.Kila halmashauri wana utaratibu wao.
Wengine wamesema waliofanya kazi ya anuani za makazi ndio watakaofanya na sensa.
Wakidai kuwa wamefanya kazi kubwa.
Boss unapiga za koromeo balaa , watupie taulo.Penye wengi Kuna mengi, kwenye swala la pesa kila mtu ataongea lake ili ajipromote yeye nahuu ubinafsi ndounaacha tuwe masikini wakutupwa hususani sisi daraja lachini including hii Mialimu inanuka njaa kali na ndio maana mshahara ukitoka tu yenyewe ndoinaleta foleni kwenye benki utakuta imejazana michafu nguo ndohizohizo yani makerere tupu.
We utakuwa ni mwalimu tuNdio wanaotumika mara nyingi kwenye kazi kama hizo..refer uchaguzi..halafu ni rahisi kuwapata ikitokea wakiharibu..sasa wewe tukikupa laki tano kabla then uende ukafanye kazi yetu si ajabu ukatokomea mazima..bado mna ujana sana..sio kwamba nawatetea walimu hapana!
Hapana..We utakuwa ni mwalimu tu
Ndio maana huu uzi unanuka Chaki na majasho
Ile paaa yametoka 😅😅😅😅😅 umu ndan watu wataleftOfisi ya takwimu ya Taifa toeni majina ya sensa humu ndani watu wanataka kupigana.
Tuvumiliane,Muda ndio msema kweli
Kwani walimu wamekukosea nini?Penye wengi Kuna mengi, kwenye swala la pesa kila mtu ataongea lake ili ajipromote yeye nahuu ubinafsi ndounaacha tuwe masikini wakutupwa hususani sisi daraja lachini including hii Mialimu inanuka njaa kali na ndio maana mshahara ukitoka tu yenyewe ndoinaleta foleni kwenye benki utakuta imejazana michafu nguo ndohizohizo yani makerere tupu.
Wanataka kuchukua nafasi yake ktk sensaKwani walimu wamekukosea nini?
Tusitupane Wana Jf tulikuwa wote Ktk kipindi kigumu mkipata msisahau Wana hata hela ya chai tu.Ile paaa yametoka 😅😅😅😅😅 umu ndan watu wataleft
mkuu unaota sensa!! 😳😳, dah kweli mtaani sio kuzuri.Leo nimeota kitu kuhusu hii
Tatizo unaiwazia sana [emoji3][emoji1787] lazima uoteLeo nimeota kitu kuhusu hii
😂😂 mimi ndoto zangu huwa za kweli ninaota yatakayotokea mbele na yanatokea hivohivoTatizo unaiwazia sana [emoji3][emoji1787] lazima uote