Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Jamaa pambafu kweli nilikuwa natumia Freebasic nikatoa kahela changu cha akiba kuweka bando nicheki mkeka fasta kumbe hola [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe wajumbe mnakodolea izo position ? Aisee the Almighty God stands before Us
 
Jamaa pambafu kweli nilikuwa natumia Freebasic nikatoa kahela changu cha akiba kuweka bando nicheki mkeka fasta kumbe hola [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Mkuu siku ukiona komenti yangu imesema majina tayari ujue tayari kweli na nitakuwa around [emoji3]
 
Jamaa pambafu kweli nilikuwa natumia Freebasic nikatoa kahela changu cha akiba kuweka bando nicheki mkeka fasta kumbe hola 😂😂😂😆
Hela ya ticket ya ndege imenunua bando😅😅
 
Kumbe wajumbe mnakodolea izo position ? Aisee the Almighty God stands before Us
Wajumbe hawana mishahara, wanaishi kwa issue kama hizi, migogoro, ardhi etc. Hadi kwenye postcode, wajumbe walipewa nafasi za upendeleo
 
Acha roho mbaya na wewe mzee

Makasiko yako makubwa sana duuuh kisa hela za sensa [emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…