Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
FakeMajina mbona yametoka janaView attachment 2259864
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FakeMajina mbona yametoka janaView attachment 2259864
Fake wapi aina za simu munazotumia vijana tutafute hela tecno co simu ni torchFake
Hahaha huo mkeka wa kutunga majina bado nimeufuatilia kwa kina, kuhusu simu nichangie boss ni kweli natumia tecnoFake wapi aina za simu munazotumia vijana tutafute hela tecno co simu ni torch
Majina yakitoka utayakuta kwenye tovuti punguza kimuemue mkuuMbona idadi waliohitaji ni kubwa alafu majina waliotoa ni machache
Mkeka utawekwa kwenye tovuti so we ukiskia mtu kakwambia majina yametoka na ukicheki kwenye tovuti hamna huyo muongo kwanza yakitoka yatakuwa na vishindo utajua tu hayana mbwembwe [emoji3]Hahaha huo mkeka wa kutunga majina bado nimeufuatilia kwa kina, kuhusu simu nichangie boss ni kweli natumia tecno
Halafu nyie ndio mnao edit umechoka kula ugali mzuri uraiani ?Fake wapi aina za simu munazotumia vijana tutafute hela tecno co simu ni torch
Simu gani hio original inaandika co badala ya sio?Fake wapi aina za simu munazotumia vijana tutafute hela tecno co simu ni torch
Kila mtu atapata nafasi ila tu ukidhi vigezo awe jobless au mwajiriwaShule zitafungwa july 28, ndipo semina zitaanza na nguv kaz ni maticha ndo maana mihula walibadili.
Wenye bifu na walimu endeleeni kuchukia, na tukitoka semina tunafunga baa zote.
Tushawazoe ktk watumishi wenye njaa sana ni nyieShule zitafungwa july 28, ndipo semina zitaanza na nguv kaz ni maticha ndo maana mihula walibadili.
Wenye bifu na walimu endeleeni kuchukia, na tukitoka semina tunafunga baa zote.
Kuna umuhimu wa kutoa majina mapema hata kama semina itachelewa kwani wengine safari zetu za nje ya nchi tumeghairisha tukisikilizia huu mchongo ilibidi mida hii niwe UK napiga madili.Majina mwezi wa saba kweli nitashangaa sana eti watoe mwezi huu mapema yote hii
Wazee wa kuhack mchongo mwaisa!!Kuna umuhimu wa kutoa majina mapema hata kama semina itachelewa kwani wengine safari zetu za nje ya nchi tumeghairisha tukisikilizia huu mchongo ilibidi mida hii niwe UK napiga madili.
Ni kweli usemayo ticha. Maticha ni nguvu kazi (cheap labour) ya kazi nyingi za serikali. Ulishawahi ona serikali iki chukua watumishi labda wa TRA, mahakama, afya au hata jeshi lolote kwa kazi za vibarua(temporary work)?Shule zitafungwa july 28, ndipo semina zitaanza na nguv kaz ni maticha ndo maana mihula walibadili.
Wenye bifu na walimu endeleeni kuchukia, na tukitoka semina tunafunga baa zote.
Mwezi wa nane mbali sana mkuuKuna umuhimu wa kutoa majina mapema hata kama semina itachelewa kwani wengine safari zetu za nje ya nchi tumeghairisha tukisikilizia huu mchongo ilibidi mida hii niwe UK napiga madili.
PukuKuna umuhimu wa kutoa majina mapema hata kama semina itachelewa kwani wengine safari zetu za nje ya nchi tumeghairisha tukisikilizia huu mchongo ilibidi mida hii niwe UK napiga madili.
Ni uzalendo tu , naipenda sana inchi yangu hivyo najisikia vibaya kuacha nafasi ya kutumika taifa ndio maana nataka nitumie hii kama nafasi ya mwisho ninaweza kunogewa na maisha ya ughaibuni nikakosa nafasi ya kurudi hata kusalimia.😁😁😁 wewe mkuu ni Kapuku tu kama sisi wengine.. Sasa una hela mpaka za kwenda nje kwenye madili kwa nn uhangaike na vipesa vidogo vya sensa.. 🤣🤣🤣 JF ni Raha sana
Puku
FoolNi uzalendo tu , naipenda sana inchi yangu hivyo najisikia vibaya kuacha nafasi ya kutumika taifa ndio maana nataka nitumie hii kama nafasi ya mwisho ninaweza kunogewa na maisha ya ughaibuni nikakosa nafasi ya kurudi hata kusalimia.
JPM alitumia jeshi kwenye korosho,,,,una lingineNi kweli usemayo ticha. Maticha ni nguvu kazi (cheap labour) ya kazi nyingi za serikali. Ulishawahi ona serikali iki chukua watumishi labda wa TRA, mahakama, afya au hata jeshi lolote kwa kazi za vibarua(temporary work)?