Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini , kiaje nini kilivuruga??Sio ya kweli
Iko nyuma ya mda
Hiyo ndo ratiba mzeeeSio ya kweli
Iko nyuma ya mda
basi nchi ngumu hii embu ngoja tuoneHapanaaaaa acha ligi, nilimuombea mm kazi ya karani mtandaoni ni form four mwenye four
Wengine wanadai eti kama hujapigiwa simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wadau wanasema kama ulikuwa hupokei SMS za sensa Mara tano kwa siku basi ujue haupo kwenye Mkeka[emoji3][emoji3][emoji3]yaan ilimradi mtu kasema tu
Wengine wanadai kama huna kadi ya chama hupewiWengine wanadai eti kama hujapigiwa simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyieee[emoji3][emoji3][emoji3]Wengine wanadai kama huna kadi ya chama hupewi
Mkoa gani?Mm tangu juzi rafiki angu tuliokuwa Tupo wote mda wote haniambii ila nimeshtuka Jana kavaa full uniform za sensa kumuuliza anasema katoka kwenye seminar, sikuamn mpaka aliponionyesha tablet walizopewa
Watakuita kukupa matumaini ila wanakukata kwenye usahili.Wengine wanadai kama huna kadi ya chama hupewi
Kanichanganya kinomaWatu wanawaza hela huku wewe unaleta mambo ya mademu...
HahahahahahaImagine msomi yupo na kijana kama huyu katika kundi moja la mpambano wa kutafuta ajira! INASIKITISHA!
Wadau wanasema kama ulikuwa hupokei SMS za sensa Mara tano kwa siku basi ujue haupo kwenye Mkeka[emoji3][emoji3][emoji3]yaan ilimradi mtu kasema tu
Watendaji lazma wachague watu wao,majina yaliyotoka ni ya tehama yalitoka huko nyuma.
Humu wengi ni makarani na mm nilimuuliza mtedaji wangu akasema majina ya makarani hayawez kutoka hadi wao wachague.
Ila nilazima uwepo kwenye mkeka wa mwanzo au wanaenda chakua moja kwa moja mkeka ukitoka umetoka
Basi thread ya sensa haikuhusu [emoji3][emoji3]Mimi sikuomba hiyo kazi Ila nimetumiwa hizo SMS za kuhamasisha sensa kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hii thread ni watu tuliomba sensa tukuna mtu pia alisema kwenye mkeka wa mwanzo kila mtu mwenye sifa almost atakuwepo
Baaada ya hapo interview ndo inawapata wale 200500
Ambao wataenda semina
Mimi mtendaji nina ugomvi naye kisa mwanamke hapendwi anahonga tu na ana wivu kisengeWatendaji lazma wachague watu wao,majina yaliyotoka ni ya tehama yalitoka huko nyuma.
Humu wengi ni makarani na mm nilimuuliza mtedaji wangu akasema majina ya makarani hayawez kutoka hadi wao wachague.
Ila nilazima uwepo kwenye mkeka wa mwanzo au wanaenda chakua moja kwa moja mkeka ukitoka umetoka
Hahaha una morali sana mkuu sema utapata mzee baba na mkipata mseme humu ndani sio mnaka kimya [emoji3]Hii thread ni watu tuliomba sensa tu