Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

We huoni avatar yake aliyoweka NI hata Kama sio yeye huoni Kama NI rahisi kupatikana.zoezi hili la sensa NI nyeti Sana linahusisha serikali kuu na serikali za mitaa moja kwa moja.tatizo hujui maadili ya utumishi yeye yupo ngazi ya taifa wanaratibu shughuli hivyo wamekula viapo vya kutotoa Siri juu ya zoezi zima linavyoendelea NI makosa sana
 
Me mwenyewe sioni cha ajabu cha kuficha ficha eti Siri ya serikali

Kutoa update mbona wenyewe walikua wanatoa hadi ratiba
 
.
Nakukumbusha na hayo mahesabu yako uchwara kuwa leo ni Tareh 29....Tusubiri hadi hiyo tareh 1 tuone Ramli zenu zinafikia wapi
 
kigogo kwani nae alikuwa mtumishi wa umma Tanzania mfagia ofisi au muuza kahawa nje ya ofisi ya umma anaijuwa siri ya ofisi kinaga ubaga kuliko wahusika wa ndani niamini mimi,
 
Peleka uccm wako huko
 
Kuweka avatar haimanishi ndio yeye mwenye account

Sijaona taarifa ya ajabu anayotoa at the end of the day haya anayosema mfano lini majina kutangaza ,mchanganuo wa uchaguaji watakuja kuyasema wao wao tena

Ni kweli sijui sheria za utumishi bwana john we si mtumishi bwana ila kumbuka na wewe ulikuwa kama sisi tu unasubiri lonja ulikuwa zero nadhani umesahau ila si umepata

Tuseme sawa.
 
Mkuu bado siku mbili nikuite muongo
 
ndege John[emoji955]
 
Hii chai haina sukari
 
Wakuu majina ya makarani yatatanganzwa na watendaji was kata hivyo baada ya usaili. Niliambiwa na mtendaji wa kata Fulani hapa kisiwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…