Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
290993422_549869129956603_7357297500868734036_n.jpg
291173362_1101687350559952_1820142069669098255_n.jpg
291323738_177808711372057_557630984360635096_n.jpg
290797439_5798400306908528_1111569333975511132_n.jpg
291339570_139275772082446_8913225165061569623_n.jpg
290878324_443319394305819_1690753170180373504_n.jpg
291362671_698524437882792_7331995192705694565_n.jpg
 
Taarifa rasmi niliyoipata leo kutoka jikoni huko NBS ni kua kila kitu kimekamilika katika ngazi ya kitaifa na sasa zoezi linalofuata ni seminars kwa ngazi ya mikoa then watatoa majina kabla ya tar. 20 July 2022 ili mafunzo ya makarani na wasimamizi wa sensa yaanze rasmi tar.27 July hadi 18.August then tar.23 zoezi la kuhesabu watu litafanyika.Utaratibu ni huu wakuu

NB: Save hii ratiba utakuja kunishukuru baadae[emoji120]
Mkuu kikubwa ni kupata tu huu mchongo
 
Vijana badala muwe mnawauliza watendaji wenu hao ndio wana taarifa zote kuhusu huu mchakato
mkuu huwezi amini hata hao watendaji mpaka muda huu hawafahamu chochote wanasubiri taarifa kutoka NBS bora hata humu tunapeana lonja maana kuna mchanganyiko wa watu wote,,watendaji,wasimamizi wa kitaifa,watu wa NBS,watu wa wizara na wanaosubiri kuhesabiwa.[emoji1]
 
Back
Top Bottom