mkuu nafikiri wewe ulituma maombi yakaenda, sasa hawa jamaa system yao haina mambo ya kukorect yale maombi ya mwanzo angalia ujumbe ule vizuri wanasema email inatumika mara moja tu basi, na wanataka uwe makini sana hakikisha mara mbilimbili, it means huwezi kuomba tena hata kama ukiwa umekosea, wapotezee tu mzee fanya mishe zingine.
Wametoa hio taarifa na hata hawaonyeshi kama kuna namna ya rectify makosa, means we are doomed mkuu, mimi nakata tamaa mana nimetuma na email lakini no response, pga sana zile namba za mchongo siwapati.