Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Huu mwaka Huu [emoji25]
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Ramuli kama inanishawishi hivi hebu tuambie umesoma wapi hii ratiba mkuu?
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Uongo mtupu kwahiyo hiyo semina According to itaanza 18/7 hadi 16/8 yaan Semina ifanyike karibu mwezi mzima wkt Kamisaa alisema semina itafanyika kwa siku 21
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Ramli chonganishi
 
Uongo mtupu kwahiyo hiyo semina According to itaanza 18/7 hadi 16/8 yaan Semina ifanyike karibu mwezi mzima wkt Kamisaa alisema semina itafanyika kwa siku 21
Mkuu kwa mimi nilivyofatilia nimeona kwenye siku hizo 21, hawaja,include siku za mapumziko (jmos na jpili)
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
🤣kama kweli vile
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Ramli hii ipo kimkakaati sana maana hiyo 27/6 hadi 1/7 ndio kila kitu ikitiki hii ya mbele yote yanaenda fresh
 
Niwaambie nimeitwa kufanya uhakiki wa anauni za makazi kwa jiji la ilala na watendaji wanahusika moja kwa moja.
Kama ndio ivyo basi tusubirie kidogo swala la sensa, nimethibitisha sensa inategemea anuani za makazi moja kwa moja
sawa
 
Niwaambie nimeitwa kufanya uhakiki wa anauni za makazi kwa jiji la ilala na watendaji wanahusika moja kwa moja.
Kama ndio ivyo basi tusubirie kidogo swala la sensa, nimethibitisha sensa inategemea anuani za makazi moja kwa moja
Watendaji tena [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uongo mtupu kwahiyo hiyo semina According to itaanza 18/7 hadi 16/8 yaan Semina ifanyike karibu mwezi mzima wkt Kamisaa alisema semina itafanyika kwa siku 21
Siku za jumamosi tarehe 23,30,6 na 13

siku za jumapili tarehe 24,31,7 na 14

siku ya nane nane 8/8
---------------------------------------------------------- jumla ya siku za jumamos na jumapil ni 8 + Siku ya nane nane = siku 9 za mapumziko

Tarehe 18/7 --16/8

ukitoa siku za mapumziko ambazo ni 9 utapata siku 21 za mafunzo.
 
Za ndaaani kabisa,
27/6 - 1/7: Kutangazwa kwa majina kwa ajili ya kufanya usaili.

4/7: Usaili kwa waombaji

11/7 - 15/7: Kutangazwa kwa majina yalipita kwenye usaili

18/7: Kuanza kwa semina.

16/8: Mwisho wa semina.

17/8 - 19/8: Vikao vya mwisho.

22/8: Kukusanya vifaa vya kazi

23/8: Kuanza kwa zoezi la sensa.
Hii ramli nimeikubali [emoji817]
 
Back
Top Bottom