mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Mkuu mimi mwenyewe ila sitamwingiza mtu kwa kumchomeka nitasimamia haki ila hivi vichali vya UVCCM vinataka mbereko this time wacha mwenye bahati apate haki nitaisimamia vilivyoMimi ni mtendaji wa kata...sasa hivi simu yangu muda mwingi natafutwa na namba mpya wakiulizia upendeleo wa majina yao ya sensa