Chambichambi
Senior Member
- May 23, 2022
- 139
- 229
Na makarani kila kata wanahitajika wangapi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1 hadi 50,Na makarani kila kata wanahitajika wangapi???
Mmoja ila kwenye kata yetu hawahitajiki kabisa... yaan dah!Na makarani kila kata wanahitajika wangapi???
Namaanisha wale wa nyumba kwa nyumba kama hujui unaweza kaa kimya wazoefu wajibuMmoja ila kwenye kata yetu hawahitajiki kabisa... yaan dah!
Wazoefu gani ww, ngoja ulambwe kwanza, akili zikukae sawa.Namaanisha wale wa nyumba kwa nyumba kama hujui unaweza kaa kimya wazoefu wajibu
Mzee hukwenda jeshini?Unaona sasa
Kazi zingine watuachie sisi,japokua kuna wachache wapiga kazi kweli kweli
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kila la kheri kiongoziKesho saa 3 kamil asbuh....
Ntaupost mkeka wa Mkoa wa Lindi
Halmashaur ya Mtama tu......
Mi mwenyew uhakika jina limetoka.....
Pamoja mkuuKila la kheri kiongozi
21 sema ni vijijin huku ila ni halmashauri moja kubwa sana lakin mapori ni mengi mno
We Kumbe upo kwa Nape?Kesho saa 3 kamil asbuh....
Ntaupost mkeka wa Mkoa wa Lindi
Halmashaur ya Mtama tu......
Mi mwenyew uhakika jina limetoka.....
Sasa swali gani hili mkuu ?We Kumbe upo kwa Nape?
Hapana comred,nifahamishe jambo mkuuMzee hukwenda jeshini?
Utaratibu umeingia dosari baada ya majina kupewa viongozi wa kata na walimu wakuu tuombe MUNGU tu ila inavyoonekana mweny nacho ndio anaenda kula dodoLeo si ndiyo siku ya mikeka jamani [emoji847]
Nafasi za maudhui zimenisikitisha Sana wamepeana wenyewe tuUtaratibu umeingia dosari baada ya majina kupewa viongozi wa kata na walimu wakuu tuombe MUNGU tu ila inavyoonekana mweny nacho ndio anaenda kula dodo