Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Kwenye no pale mwenyewe anasema limemshangaza ila majina yote ni yake namjua hakupita kozi yeyote na walimpigia simu before hapo kwenye namba naona kuna namna ,Haya mambo nibahati sometimes nitukaze buti tu Nakumuomba Mungu maana kila mtu hakuumbwa kuja kuteseka duniani
Kuna mdau humu alisema namba yake ameiona kwenye mkeka ipo kwa jina la mtu mwengine....