HV naskia tpdf kuwa wanachukua makambini hii n kweli?Sema mkuu tutafute hela ikitoka tpdf tunaenda kuonga huko huko juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HV naskia tpdf kuwa wanachukua makambini hii n kweli?Sema mkuu tutafute hela ikitoka tpdf tunaenda kuonga huko huko juu
Yan watu washapewa hadi tarehe ya kuripot unategemea tena nafasi 1000?Ngoja wale vijanaa wa fani nafasi 1000 wapitishe watu wao Kama kawa [emoji23][emoji23]
Hapo ndio ishapita hiyo ile danganya toto tuYan watu washapewa hadi tarehe ya kuripot unategemea tena nafasi 1000?
Muda UPI aise, time ain't promiseHili ni bomu muda will tell .. umenichekesha eti ata uwe na kipaji Cha kunya gololi
Ilo chama la WanaHV naskia tpdf kuwa wanachukua makambini hii n kweli?
Kitenge huu mshati ilo ndo jeshi bana hao mbona wanajulikanika ndioIlo chama la Wana
Huku hakuna longolongoKitenge huu mshati ilo ndo jeshi bana hao mbona wanajulikanika ndio
Usiwakatishe tamaa [emoji23][emoji23][emoji23]et watu wanasubr 1000, hahaha hamkumb enz za jpm, zltoka ajira 8000 wakasema bado 5000 watatoa ila haikufahamika walilipot lini mbka leo, kwahyo kama umekosa apo bas imeisha hyo mwendo umeumaliza
Wewe siyo Askari acha porojo.Afu wote mnao kuja katika hii shule,wekeni mbele uzalendo katika taifa hili sio uweke mbele tumbo lako kwasababu ya shida zako ndio ukaja huku,my friend sehemu hii itakua sio mahali pako na ndio maana kutwa kuna baadhi ya askari wanafanya tabia za kipuuzi na zakijinga kula lushwa kuchafua taswila ya jeshi kisa tu tumbo lake na familia yake.Wengine hii taasisi tunaipenda sana na inatupenda pia kwasababu ya uzalendo uliotukuku sasa wewe uje na njaa zako huku ili baadae uanze kutugombanisha jeshi na raia tutakufukuza kwa aibu na fedhea
[emoji38][emoji38]hata uwe na kipaji cha kunya goroli hutoboi.Kuna jmaa yangu amepata nikasema kumbe haya mambo bila koneksheni inawezekana.....anakuja kunmbia alivyopita hahahaha nilichoka wazee hiz mambo tusitiane moyo hata waliopta humu wana njia zao wamezitumia just imagine mkuu wa mkoa ana ndgu zake au ana jmaa zake ambao wana watt zao the same na kwa RPC the same na mwnyekit CCM mkoa the same na mawaziri the same na wakubwa wengine kama hawana watu wao wa karbu basi wana jamaa zao hapo maana yake hata uwe na kipaji cha kunya goroli hutoboi.
Me sitegemei maajabu yoyte kwa majeshi yaliyobak na najutia garama zangu nilizotumia maana urasimu na use.ge kweny hz ajira umekuwa mwingi ..
Ila ipo siku hapa tz tutazungumza lugha moja hii nepotism hii sumu yake ikilipuka we ngoja tu.
Wa magereza au policeMkeka mwingine unatoka kalibuni kabla trh 30 vijana kuweni wapole
Police... Magereza bado wanaendelea na mchakatoWa magereza au police
Are you sure nimesikia ni watu kumi tuu kama wakiongezaPolice... Magereza bado wanaendelea na mchakato
Nasikia n watu 1300Are you sure nimesikia ni watu kumi tuu kama wakiongeza
Mkuu acha chuki na utumie japo akili kidogo tu,nilishakuonya toka comment zako za nyuma na naludia tena.Jeshi la polisi sio la IGP ni la amili jeshi mkuu wa majeshi yote ya Tanzania muheshimiwa raisi Samia suluhu hivyo huyo ndio wakumlaumu wala sio siro yaani hakuna kitu siro atafanya bila kumshilikisha mama na pia mama ndio kazitoa izi ajira wala sio siro dah acha upuuzi wewe kijanaPolisi kuna urasimu sana hujuma hili sio jeshi kabisa ona vijana wanalipishwa pesa ya nauli, bima ya afya,vipimo na kujikimu sasa hili jeshi gani jeshi au ni uzandifu tu??
Ivi huyu IGP alioni ili au na yy ndo wale wale tuu???dah inatia huruma sana vijana mnavyolalamika ndoma nasemaga kilw siku TANZANIA jeshi moja tu JW awo wengine wote raia wakakakamavu wasio na uzalendo stupid shame on you PT.....
MNATIA SANA AIBU POLISI TANZANIA....
Na wewe acha bangi,nikwamba unawajua askari wote waliomo humuWewe siyo Askari acha porojo.
Kama ww ni askar sema humu kama kuana mkeka mwingineNa wewe acha bangi,nikwamba unawajua askari wote waliomo humu