Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Yule binti jina lake halikutoka sijui tatizo ni nini ila nahisi ni kigezo cha urefu
Kuna jamaa apa tanga umri miaka 26 urefu hafiki nchi futi 5 na nchi 5 ila alikuwa na connection baba kantuma siye twenye urefu futi 5 na inchi 9 tumeachwa na vigezo vyote vipo sawa .yeye kapeta huyo alikuwa wanamuhadaha tu ..ukiwa na connection hata vigezo havina nguvu me niliyoyaona nimeyaona sitaki tena kuomba kama sina connection tena na uhakika
 
Kuna jamaa apa tanga umri miaka 26 urefu hafiki nchi futi 5 na nchi 5 ila alikuwa na connection baba kantuma siye twenye urefu futi 5 na inchi 9 tumeachwa na vigezo vyote vipo sawa .yeye kapeta huyo alikuwa wanamuhadaha tu ..ukiwa na connection hata vigezo havina nguvu me niliyoyaona nimeyaona sitaki tena kuomba kama sina connection tena na uhakika
Kiufupi ni mungu tuu.


Hiz zinakujaga kama ridhiki!
 
Narudia tena tanga watu wamepita baadhi bila vigezo muhimu wengine hata interviews hawajakuwepo mtu unakutana naye maabara kupima hana habari na ssi jamaa alikuwa dhahiri kwanza alikuwa anajitenga kabisa na sisi mwisho yakawa yakukua me nina urefu wakutosha tu futi 5 na inchi 9 vyeti vipo kamili afya nzuri interview nimepiga vizuri. Tusidanganyane sijui urefu hata uwe ngongoti huna connection hupati hasa siye wa elimu ya kuanzia diploma six degree hutoboi kama huna connection
 
Wakuu hiki kitu hakipo hakuna zitakazo ongezwa 1000 wala kumi . Acheni kuwafariji vijana kwenye hamna. Polisi wamesha chukua watu wao na ndio imeisha hiyo. Kwa mlio kosa pambanieni magereza, uhamiaji na zimamoto. Mungu ni wa kwetu sote naamini atatenda miujiza [emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu vipi na sie wa fani tulioomba..majina yetu bado hayajatoka..au ndo imeisha hiyo!!
 
Mkuu unafani gani ww
haya mambo haya kwahiyo wale wa fani ndo basi tena
IMG_20211011_155825.jpg
 
Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa....nimeichukuwa mahali
 
Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa....nimeichukuwa mahali
Bongo kupata kazi serikalin mpka uwe kada au una konection na makada.
 
Watu wa fani ndio imetoka hiyo wakuu. Wiki yangapi hii hamjaitwa na watu kesho wanaanza kuingia ccp
Hii nchi hii ni ngumu kwakweli


Yaani ngumu kwakeli. Mm mtoto wa masikini nan atanisaidia?

Nilisoma kwa shida, shule st kayumba, nikitumaini elimu mkombozi wangu, lakin mtu leo anasema wenye vigezo ni failure

Hapa hata sielewi, nawaza labda ningefeli, leo hii ninge kizi vigezo. Wanasiasa wamehiaribua sana hii nchi. Leo wenye vigezo wamefeli, nro nimeanza kusikia tanzania
 
Back
Top Bottom