Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Na ndicho kilicho fanyika kwenye huu usaili wa polisiSiku hiz hakuna hata mwenye mamlaka wa kufanya recruitment.
Hakuna cha baba kantuma, hata kama zipo sio kama zaman
Kama ingekuwa hivyo mm ningesha kuwa askari magereza