future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Mbona hueleweki tulia sehemu moja Mara wanaitwa baadae unasema hawaitwi imeakaaje hii ?Yan watu washapewa hadi tarehe ya kuripot unategemea tena nafasi 1000?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hueleweki tulia sehemu moja Mara wanaitwa baadae unasema hawaitwi imeakaaje hii ?Yan watu washapewa hadi tarehe ya kuripot unategemea tena nafasi 1000?
Are you sure nimesikia ni watu kumi tuu kama wakiongeza
1000Are you sure nimesikia ni watu kumi tuu kama wakiongeza
Arafu itanisaidia nini?,mimi sio msemaji wa jeshi la polisi kama unahitaji taarifa zaidi juu ya hilo mfate msemaji wa jeshi la polisiKama ww ni askar sema humu kama kuana mkeka mwingine
et watu wanasubr 1000, hahaha hamkumb enz za jpm, zltoka ajira 8000 wakasema bado 5000 watatoa ila haikufahamika walilipot lini mbka leo, kwahyo kama umekosa apo bas hyo mwendo umeumaliza
Mkeka mwingine unatoka kalibuni kabla trh 30 vijana kuweni wapole
Msifikie huko Vijana wenzanguWe fala tu mmoja unafokeafokea watu.
Ajira zimeleta matabakaMsifikie huko Vijana wenzangu
Kwanini Gpili...Ajira hizi za Kuomba Wengi ukitusua Shukuru Mungu.Wenye vigezo ni wengi nafasi ni chache.Angalau Kwa mfano Degree wangekuwa wanahitaji 300 au 500 hapo nafasi ingekuwa wazi.Ila Kwa Sasa 97/668 ujue bado degree nyingi zimerudi mtaani.So mambo bado ni magumu magumu Kwa Wasomi.Kikubwa ni kumuomba Mungu tu.Ajira zimeleta matabaka
Wakuu hiki kitu hakipo hakuna zitakazo ongezwa 1000 wala kumi . Acheni kuwafariji vijana kwenye hamna. Polisi wamesha chukua watu wao na ndio imeisha hiyo. Kwa mlio kosa pambanieni magereza, uhamiaji na zimamoto. Mungu ni wa kwetu sote naamini atatenda miujiza [emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaha we Jamaa naona umekuja kupalilia msumali wa Mwisho...Lakini ujue humu ndani Kuna watu wa ndani kabisaaaWakuu hiki kitu hakipo hakuna zitakazo ongezwa 1000 wala kumi . Acheni kuwafariji vijana kwenye hamna. Polisi wamesha chukua watu wao na ndio imeisha hiyo. Kwa mlio kosa pambanieni magereza, uhamiaji na zimamoto. Mungu ni wa kwetu sote naamini atatenda miujiza [emoji120][emoji120][emoji120]
Katika huu uzi tangu umeanza sijaona mtu mwenye lonja za uhakika hata kidogo. Zile ajira za watu wenye fani hazipo tena tuombe Mungu ziwe zimeongezewa kwenye hayo majeshi mengine yaliyo baki ili ziwe nyingi kidogo kuliko kupotea kabisa.Hahahaha we Jamaa naona umekuja kupalilia msumali wa Mwisho...Lakini ujue humu ndani Kuna watu wa ndani kabisaaa
Mkuu Mbona Kuna watu walisema majina yanatoka na kweli siku hiyo hiyo yalitoka.Katika huu uzi tangu umeanza sijaona mtu mwenye lonja za uhakika hata kidogo. Zile ajira za watu wenye fani hazipo tena tuombe Mungu ziwe zimeongezewa kwenye hayo majeshi mengine yaliyo baki ili ziwe nyingi kidogo kuliko kupotea kabisa.
Dah! Sijui ulijiamini nini mkuu. Kuna kijana alihakikishiwa kupata hizi nafasi za polisi na mtu mkubwa sana lakini alienda kuomba pia magereza, uhamiaji na zimamoto.Shida watu waliomba polisi tuu,,,magereza ,zimamoto na uhamiaji tuliacha
Mwisho wake wa huyo kijana ilikuwaje?Dah! Sijui ulijiamini nini mkuu. Kuna kijana alihakikishiwa kupata hizi nafasi za polisi na mtu mkubwa sana lakini alienda kuomba pia magereza, uhamiaji na zimamoto.
Ni kukisia tu maana humu tumo wengi kila mtu anaweza kuongea anavyo jisikia kulingana na hisia zake. Huoni kuna watu kwenye huu uzi wameshindwa kusimamia msimamo mmoja? Yaani anacho kipinga saivi badae anakikubali tenaMkuu Mbona Kuna watu walisema majina yanatoka na kweli siku hiyo hiyo yalitoka.
Yule binti jina lake halikutoka sijui tatizo ni nini ila nahisi ni kigezo cha urefuMwisho wake wa huyo kijana ilikuwaje?
Si Wanasema ukiwa na connection Vyote ivyo ni negligible mzeeYule binti jina lake halikutoka sijui tatizo ni nini ila nahisi ni kigezo cha urefu
Kama una connection subiri mapungufu yatakayo jitokeza kwa hao vijana baada ya kuripoti huko ccp maana lazima magepu yajazwe. Hapo kuna watovu wa nidhamu, wachelewaji, kuna ambao hawata kwenda kuripoti japo sio rahisi, na kuna vipimo vya afya. Hapa lazima nafasi zipatikane na lazima zizibwe.Si Wanasema ukiwa na connection Vyote ivyo ni negligible mzee
Siku hiz hakuna hata mwenye mamlaka wa kufanya recruitment.Dah! Sijui ulijiamini nini mkuu. Kuna kijana alihakikishiwa kupata hizi nafasi za polisi na mtu mkubwa sana lakini alienda kuomba pia magereza, uhamiaji na zimamoto.