Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii nchi hii ni ngumu kwakweli


Yaani ngumu kwakeli. Mm mtoto wa masikini nan atanisaidia?

Nilisoma kwa shida, shule st kayumba, nikitumaini elimu mkombozi wangu, lakin mtu leo anasema wenye vigezo ni failure

Hapa hata sielewi, nawaza labda ningefeli, leo hii ninge kizi vigezo. Wanasiasa wamehiaribua sana hii nchi. Leo wenye vigezo wamefeli, nro nimeanza kusikia tanzania
Hii nchi imeharibiwa na siasa Tena deep
 
ccp mkuu haiwez kua awaku kwa awamu.?dah ushanimwagia maji ya baridi aisee..
Kozi ya kuruta hii mkuu kuripoti huwa ni mara moja tu. Tafuta connection ili ikitokea nafasi za ku jazia jazia baada ya watu kupatikana na mapungufu uende japo bado ni ngumu pia.
 
Kozi ya kuruta hii mkuu kuripoti huwa ni mara moja tu. Tafuta connection ili ikitokea nafasi za ku jazia jazia baada ya watu kupatikana na mapungufu uende japo bado ni ngumu pia.
Sasa kwanini walitangaza kuhitaji watu wenye fani aisee..?yaani siku zote najipa moyo..kumbe niendelee tu kubeti.
 
Hamnaa bana Mbona mm ni mmojawapo niliyekosa hizo nafasi lakini nipo tu nimetulia...! Degree hizo tulikuwa 668 lakini hao waloonekana selected ni 97,hivyo kama Kuna mambo mengine yanaendelea huko Tusubiri.Ila wametuacha wengi sana Degree
Pole kiongoz ila asikuambie ntu tunaoumia sisi uchumi wa chini
 
Back
Top Bottom