Pole sana mkuu but katika maisha n usikate tamaa na wala usiache kuapply
Mm wakat namaliza chuo nliombaga job sehemu nkaenda kwa interview jamaa akanambia umepita but nyoosha mkono wanao taka Nafasi n wengi m nkawa sina kitu nkapigwa chini hvo mkuu huku nikijua kabisa nmefaulu interview cuz nlipigishwa oral + written siku kata tamaa nkajarbu kuomba kikazi angalau cha kuandisha maboresho ya daftari la mpiga kura zile nafasi watendaji ndo walikuwa wenye kuselect cuz ata barua zilipita kwao ile kwenda kupitishiwa barua mtendaji akaniuliza na ww n kijana wa chama?? Nkasema hapana akanambia nakupitishia barua ipeleke halmashauri lakini sisi ndo tunachagua so jipange pakubwa then uje tuongee kikubwa napo nlikosa pesa nkapigwa chini sikukata tamaa
Nkajarbu tena kuomba kazi kampuni flani nkaitwa interview bahati nzuri boss alikuwa mzungu akanifanyia interview ya vitendo cuz n fani za computer after interview boss akasema utapigiwa simu kama umepita nikufanyie oral interview after two days boss akanipigia simu akidai nifike haraka ofisini kwake nlikuwa nisharudi home sina ata nauli nkamwambia okay boss but naomba nije after three days nitafte nauli boss akasema okay fine, nkasononeka sana nkasema nimepoteza nafasi sikulala kesho yake boss akanipigia asubuhi kuwa jiandae uje kesho nakutumia nauli kufika ofisini boss ananiambia utapenda uanze na mshahara gani nkaishiwa pozi nkawa kimya then boss akanambia don't worry unaonaje nkikipa offer ya Tsh... aisee kwa ile salary sikubisha kwa degree yangu serikalin silipwi vile na vile nilitaka kazi na ata experience sikuwa nayo.
Sahv naomba kwenye vyombo vya ulinzi cuz nalipenda jeshi and niko competent mambo ya computer naona jeshi n mahali sahihi kwangu kama ntafanikiwa so usikate tamaa please katika maisha wala usimlaumu mtu pambana2 mkuu kidogo kinaweza leta kikubwa watoto wa masikini tunapitia wakati mgumu sana hadi kuja kutoboa