Wanajuaje sasa kama uliomba sehemu zingneWatu walikua wengi wanachukua 16 tu na kama uliomba nafasi zingine wanakufukuza
Wanajuaje sasa kama uliomba sehemu zingne
NdiooooIvi hadi form 4 takukuru tuna tuma applications ???? Ni.swali ilo
Ntaa aaply j2 km ndio ivo
Alisema uhamiaji ndio .. .. .. Iyo c ni idadi tu ya wanaotakiwa mbn hua iko waziMimi sijaelewa huyu jamaa anazungumzia wale wa uhamiaji walioitwa dodoma usaili au anazungumzia wapi.!
Halafu kama ni hao,alijuaje kama walichukuliwa 16,kati ya wale wote 123 hivi.?
Alisema uhamiaji ndio .. .. .. Iyo c ni idadi tu ya wanaotakiwa mbn hua iko wazi
deadline ya kuapply ni leo mzeeNtaa aaply j2 km ndio ivo
Tarehe 8 bn mzeedeadline ya kuapply ni leo mzee
Vijana wenzangu wapambanaji Mpoo?? Mbona mmepoa jamanii