Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

UHAMIAJI

Waliofanya usaili jana dodoma walioitwa wenye taaluma vipi mambo yaliendaje....
 
Wanajuaje sasa kama uliomba sehemu zingne

Mimi sijaelewa huyu jamaa anazungumzia wale wa uhamiaji walioitwa dodoma usaili au anazungumzia wapi.!

Halafu kama ni hao,alijuaje kama walichukuliwa 16,kati ya wale wote 123 hivi.?
 
Mimi sijaelewa huyu jamaa anazungumzia wale wa uhamiaji walioitwa dodoma usaili au anazungumzia wapi.!

Halafu kama ni hao,alijuaje kama walichukuliwa 16,kati ya wale wote 123 hivi.?
Alisema uhamiaji ndio .. .. .. Iyo c ni idadi tu ya wanaotakiwa mbn hua iko wazi
 
Hii kazi babu yangu alinizuia kabisa, mimi na uzao wangu.
 
Duuuh...tarehe 4 inaenda kupita tena aisee...
 
Back
Top Bottom