Tuendelee na kilimo cha matikiti tu Hali sio Hali 😂😂😂Wadau waliofanya usaili wale walioomba online fani mbalimbali PT vipi kuna lonja gani [emoji15][emoji15][emoji15]
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Pole sana kiongozi. Hiyo ndio Tanga shamba la bibiNarudia tena tanga watu wamepita baadhi bila vigezo muhimu wengine hata interviews hawajakuwepo mtu unakutana naye maabara kupima hana habari na ssi jamaa alikuwa dhahiri kwanza alikuwa anajitenga kabisa na sisi mwisho yakawa yakukua me nina urefu wakutosha tu futi 5 na inchi 9 vyeti vipo kamili afya nzuri interview nimepiga vizuri. Tusidanganyane sijui urefu hata uwe ngongoti huna connection hupati hasa siye wa elimu ya kuanzia diploma six degree hutoboi kama huna connection
HahahhaaTuendelee na kolimo cha matikiti tu Hali sio Hali [emoji23][emoji23][emoji23]
Tushamuachia mungu na mungu atalipa tanga kumeoza SanaPole sana kiongozi. Hiyo ndio Tanga shamba la bibi
Wakuisaidia Tanga hajafika bado.Tushamuachia mungu na mungu atalipa tanga kumeoza Sana
[emoji2][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina haifiki hata 150.
Daah nchi ngumu sana hii 😂😂Wazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.
Kilimo cha matikiti maji na parachichi kinatuhusuDaah nchi ngumu sana hii [emoji23][emoji23]
Shamba linahusika Mzee baba mm nawaachia mji narud bush kupambana na matikiti😂Kilimo cha matikiti maji na parachichi kinatuhusu
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Mbona lonja yako fake haina uhalisia kabisAWazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.
Tupe ya kwako kaka "real yenye uhalisia" tafadhaliMbona lonja yako fake haina uhalisia kabisA
Na majina liniWazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.
Wadau Kama siyo baba kantuma Shona tulia. Huna chako apoWazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.
Kwaio majina lini?Wadau Kama siyo baba kantuma Shona tulia. Huna chako apo
Akikujibu nitag
Unaskia!?? Bora ungeona ndo ukaja kutoa taarifa hukuWazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.