Predux
Member
- May 31, 2022
- 84
- 251
Wakimaliza kuapa ndo wanaanza usaili, au utaratbu upo vpTareh 26 August wanaapa ccp huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimaliza kuapa ndo wanaanza usaili, au utaratbu upo vpTareh 26 August wanaapa ccp huko
Wakimaliza kuapa ndo wanaanza usaili, au utaratbu upo vp
𝑶𝒖𝒌𝒚..𝒕𝒉𝒏𝒌𝒔Braza usaili utaanzaje wakat hata tangazo la kazi hujalion. Relax..kaz zitakuja..
mmh sijui[emoji2969]Sensa imeisha nasikia vyombo vya usalama watamwaga ajira.
Hiyo iko wazi mbonaSensa imeisha nasikia vyombo vya usalama watamwaga ajira.
Unyama sana apoHiyo iko wazi mbona
Wanaanza polisi ajira 3000
mmh ni za mwaka huu kweli hizo mbona nmeskia zinaweza zikawa ni za mwakaniHiyo iko wazi mbona
Wanaanza polisi ajira 3000
Mwaka huu kiongozi. ila kama ni mwakani ni unyama zaidi maana mshikaji wangu blood kindaki ndaki atakuwa kashamaliza mafunzo ya kujitolea bila kusahau na wana jf watakaopata nafasi ya kujitolea kwenye huu uzi awamu hiimmh ni za mwaka huu kweli hizo mbona nmeskia zinaweza zikawa ni za mwakani
Hawa waliofanya magereza kwanzia siku hyo na kuendelea wanapata mkeka wao
Mbna walitangaza na process zilishafanyika tyr...[emoji23][emoji23]Na huwa wanatangaza lini nafasi za mafunzo ya jkt?
Hivi washaingia chombonMbna walitangaza na process zilishafanyika tyr...[emoji23][emoji23]
bdo mkuu wangu ondoa hofu.Hivi washaingia chombon
.....huyu anaulizia nafasi za JkTbdo mkuu wangu ondoa hofu.
waliohitimu mafunzo juzi juzi moshi ndio wameingia kazini.ajira 3000 za polisi ziko njiani zinakuja ndio wengi tunasikizia
Hapo ni sawa umeuliza hv kuna uwezekano wa kusoma sekondari bila kupitia elimu ya msingi?Hivi inawezekana mtu kuanza mafunzo ya jwtz moja kwa moja bila kupita JKT?
MSATA kuna kozi ya JKT au jwtz?
Hapo ni sawa umeuliza hv kuna uwezekano wa kusoma sekondari bila kupitia elimu ya msingi?Hivi inawezekana mtu kuanza mafunzo ya jwtz moja kwa moja bila kupita JKT?
MSATA kuna kozi ya JKT au jwtz?
Umejibu kijinga mno. Mbona inawezekana tena sana na wengi wamepita juu kwa juu bila hiyo JKT. Mfano wale wanaosome sayansi ya Jeshi walipitia JKT??Hapo ni sawa umeuliza hv kuna uwezekano wa kusoma sekondari bila kupitia elimu ya msingi?
Kwa mwanza jana ndio wamefanyiwa usahili wa mwisho ..na wameshapewa maelekezo ya kinachofuataHivi washaingia chombon