aaah vile vyeti watu tumevipata kilaini mnoo😄😄Yaaaap tulipokuwa kambini ( kwa mujibu ) Kuna OC wetu alikuwa anasikitika Sana watu wanavyotoroka
Alikuwa anasema " watu mmekuja ,.but hamjui umuhimu wa hivi vyeti.....but mtaujua tu[emoji1787][emoji1787]
Pia ndio sababu ya wale service man kuwa mind Sana watu wa majibu....coz nyie ham hustle Kama wao[emoji23][emoji23]
Siyo kirahisi hivoUmejibu kijinga mno. Mbona inawezekana tena sana na wengi wamepita juu kwa juu bila hiyo JKT. Mfano wale wanaosome sayansi ya Jeshi walipitia JKT??
Kabisa mkuu...,. kamselelekoaaah vile vyeti watu tumevipata kilaini mnoo[emoji1][emoji1]
Ndio ni kweliIo ni kweli mkuu nimtafute[emoji23]
Sina hob hiyo ameniboa saana kuna dogo wa Ana diploma ya biomedical kamkata kisa hana hela alafu kampachika young man flan hivi Ana C moja na D mbilikama unamfahamu mpambanie akusaidie otherwise utaishia kulalamika tu hapa jukwani
Mkuu connection ya uyo mtuSina hob hiyo ameniboa saana kuna dogo wa Ana diploma ya biomedical kamkata kisa hana hela alafu kampachika young man flan hivi Ana C moja na D mbili
Tupee connee chifuSina hob hiyo ameniboa saana kuna dogo wa Ana diploma ya biomedical kamkata kisa hana hela alafu kampachika young man flan hivi Ana C moja na D mbili
Du!Miaka michache ijayo tutakuwa na jeshi la hovyo saana
Kuna sehemu watu wamepiga usahili wakafaulu alafu majina yao yamekatwa watu wamepachika watu wao
Kuna jamaa pia Anawadhifa mkubwa saana anatoa watu mtaani anawapeleka kozi ya jwtz moja kwa moja kwa dau la laki 8 mpaka milioni 2
Connection ya huyo chiefSina hob hiyo ameniboa saana kuna dogo wa Ana diploma ya biomedical kamkata kisa hana hela alafu kampachika young man flan hivi Ana C moja na D mbili
umenistua mzee nikajua polisi wametema mkekaWale Watu.
Na tunazisubiria sio mchezoNimeona uzi umepoa sana asee ..coz nimekaa kama dk30 napitia post za watu humu ndani ,wengi wamechoka kusubiria izo nafasi za polisi sasa wanasubiri tu Liwalo na liwe
mtu wa ikulu na msata wapi na wapiHivi MSATA watu wanaanza kuingia lini maana naona kama huyu jamaa wa ikulu kachukua hela yangu kijanja
mtu wa ikulu na msata wapi na wapi
Aliniambia yeye anatokea ikulu so atanipitisha MSATA nikale kozi ya ajira kama mtu special (yaani maelekezo kutoka juu) ni wiki ya 3 sasa naona kimya [emoji24][emoji24]mtu wa ikulu na msata wapi na wapi