Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Yaaaap tulipokuwa kambini ( kwa mujibu ) Kuna OC wetu alikuwa anasikitika Sana watu wanavyotoroka

Alikuwa anasema " watu mmekuja ,.but hamjui umuhimu wa hivi vyeti.....but mtaujua tu[emoji1787][emoji1787]

Pia ndio sababu ya wale service man kuwa mind Sana watu wa majibu....coz nyie ham hustle Kama wao[emoji23][emoji23]
aaah vile vyeti watu tumevipata kilaini mnoo😄😄
 
Umejibu kijinga mno. Mbona inawezekana tena sana na wengi wamepita juu kwa juu bila hiyo JKT. Mfano wale wanaosome sayansi ya Jeshi walipitia JKT??
Siyo kirahisi hivo

Kuenda JWTZ moja kwa moja bila kupitia JKT labda uwe na strong connection ila under normal circumstances hilo haliwezekani

Wa sayansi ya jeshi wengi wao huwa wanapita mujibu wa sheria
 
Miaka michache ijayo tutakuwa na jeshi la hovyo saana

Kuna sehemu watu wamepiga usahili wakafaulu alafu majina yao yamekatwa watu wamepachika watu wao

Kuna jamaa pia Anawadhifa mkubwa saana anatoa watu mtaani anawapeleka kozi ya jwtz moja kwa moja kwa dau la laki 8 mpaka milioni 2
Du!
 
Nimeona uzi umepoa sana asee ..coz nimekaa kama dk30 napitia post za watu humu ndani ,wengi wamechoka kusubiria izo nafasi za polisi sasa wanasubiri tu Liwalo na liwe
 
mtu wa ikulu na msata wapi na wapi
Aliniambia yeye anatokea ikulu so atanipitisha MSATA nikale kozi ya ajira kama mtu special (yaani maelekezo kutoka juu) ni wiki ya 3 sasa naona kimya [emoji24][emoji24]

Ndio nauliza kozi ya JW watu wanaanza kulipoti lini ??
 
Back
Top Bottom