Mdudubitehunter
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 309
- 538
Poa piaSawa usiweke transcript, achana nayo.
Transcript ndio inayotoa uhalali wote pale inapotokea watu wengi wa fani moja wameomba ajira Moja.
Achana na transcript weka cheti tu Cha chuo.
Kukaa atakaa na sio zaid ya miaka mi3 na ataanzia Nyota kama hakutakuwa na watu wengiWe JAmaa polisi hawafanyi kazi kama tpdf kutoa nyota kinamna hiyo. Ukimaliza course una miaka yako kadhaa ya kukaa na uconstable kwanza then ndio baadae ukatafute usergeant na nyota moja
Kwa form 4 ambao hawapo makambini wanapeleka documents zao Kwa makamanda Wa polisi Wa mkoa husika ofisini kwao.Wakubwa Nina swali naomba kuliza wale wa form 4 tunapeleka maombi kwa mkono au naombeni msaada please maana nachanganyikiwa kwenye kipengele hicho
2. Nakala ya kitambulisho Cha Taifa cha NIDA au Namba ya NIDA.Mimi Sina nida ID ila nna NIN yani number nafanyaje wakuu nmeamua niombe tu polisi mtipidii ntaomba kama ntakosa huku
Sawa kaka nashukuru2. Nakala ya kitambulisho Cha Taifa cha NIDA au Namba ya NIDA.
Tujitahidi kusoma vizuri tangazo la ajira ili kuepuka maswali marahisi.
Chukua karatasi nyeupe then andika namba yako ya NIDA iwe Kwa mkono au Kwa computer (ANDIKA NAMBA YA NIDA ni 19........................) then utaiscan na kuiweka pamoja na vyeti vyako.Mimi Sina nida ID ila nna NIN yani number nafanyaje wakuu nmeamua niombe tu polisi mtipidii ntaomba kama ntakosa huku
Shukran kakaChukua karatasi nyeupe then andika namba yako ya NIDA iwe Kwa mkono au Kwa computer (ANDIKA NAMBA YA NIDA ni 19........................) then utaiscan na kuiweka pamoja na vyeti vyako.
jamaa kamaanisha kwa form four tuu,maana wao wanamtaka wa form four halafu ukiwaonyesha chet cha mujibu inamaana umeficha cheti cha form 6Hamna sehem wameandika cheti Cha JKT Cha Mujibu Wa Sheria au Kwa kujitolea.
Ameandika uwe na cheti Cha JKT basii hizo nyingine ni siasa zako
Mbona serikali ina mda sana haitoi Leaving certificateMtu hajaambiwa atume nakala yoyote ya AFYA kutoka Kwa Daktari Wa serikali kwenda kwenye email ya polisi lakini Cha ajabu mtu anatuma hizo ni Dharau tu some maelekezo vzuri kabsa kwenye website Yao.
Angalia kwenye maelekezo vitu ulivyoambiwa uambatanishe.
Barua ya kuomba kazi
Wasifu wako (uzoefu- CV)
Cheti Cha chuo & transcript
Cheti Cha form 6 & leaving certificate
Cheti Cha form 4 & leaving certificate
Cheti Cha kuzaliwa.
Cheti Cha JKT.
Nakala ya kitambulisho Cha Taifa (NIDA)
Kiambatanisho B (Excel)
Hamna kingine ni alichosema zaidi ya haya niliyoandika hapo juu.
Fata maelekezo baadae ukikosa AJIRA unaanza kuitukana serikali wakati wewe mwenyewe unajipangia utaratibu wako Wa kutuma maombi ya kazi nje ya ulichotakiwa kufanya.
View attachment 2439327
Kaka wajuaji wengi sana nawachora tu [emoji2][emoji2]Hamna sehem wameandika cheti Cha JKT Cha Mujibu Wa Sheria au Kwa kujitolea.
Ameandika uwe na cheti Cha JKT basii hizo nyingine ni siasa zako
Mtu hajaambiwa atume nakala yoyote ya AFYA kutoka Kwa Daktari Wa serikali kwenda kwenye email ya polisi lakini Cha ajabu mtu anatuma hizo ni Dharau tu some maelekezo vzuri kabsa kwenye website Yao.
Angalia kwenye maelekezo vitu ulivyoambiwa uambatanishe.
Barua ya kuomba kazi
Wasifu wako (uzoefu- CV)
Cheti Cha chuo & transcript
Cheti Cha form 6 & leaving certificate
Cheti Cha form 4 & leaving certificate
Cheti Cha kuzaliwa.
Cheti Cha JKT.
Nakala ya kitambulisho Cha Taifa (NIDA)
Kiambatanisho B (Excel)
Hamna kingine ni alichosema zaidi ya haya niliyoandika hapo juu.
Fata maelekezo baadae ukikosa AJIRA unaanza kuitukana serikali wakati wewe mwenyewe unajipangia utaratibu wako Wa kutuma maombi ya kazi nje ya ulichotakiwa kufanya.
View attachment 2439327
Uliza ishu yako hadharani hapaWakuu mtu ambae mpaka sasa ameshakamilisha maombi na kutuma Nahitaji msaada PM tafadhali
Uliza ishu yako hadharani hapa
Hauscan unadownloa ile form unaijaza afu unaituma pamoja na barua yko ya maombi unaambatanisha na zile nakala zingine.Mimi Nahitaji kufahamu tu kwa wale wenye shahada na kuendelea jinsi ya kutuma maombi Inakuaje? Je hio kiambatanisho B ambayo ni excel sheet tunatuma kama ilivyo au tunascan pamoja na barua ya maombi na viambatanisho vingine
Pili,hawa wa shahada na wao inawapasa waende kwa wakuu wa polisi sehemu husika au tunatuma tu Kwenye e-mail ile?