Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Dogo janja anaonyesha kuwa anaijua ngoma vizuri kumbe ni mweupe,nadhani PT kwa majeshi yetu kwasasa wanaweza kuwa wanaongoza kwa Askari wengi kuwa na elimu za juu.
Bado sijagusia Tanapa kuna kila mwenye ngazi ya elimu kuanzia form 4 mpka kuendelea ambapo kuna mpka ma botanist ...watu wa wildlife nakadhalika wamesoma


Hilo pia ni jeshi ndio nakufundisha jeshi sio polisi, magereza , uhamiaji na zimamoto


Rudi darasani maana we kichwani ndio mweupe
 
Tukiongea ule ukweli wenyewe na tukiweka unafiki pembeni

tupozungumzia jeshi kuwa na wasomi at least muwe na certificate , diploma au degree au hata masters relevant na jeshi husika


Mfano forensic science kwa ajili ya kupima crimes scenes ,labda degree ya law maana polisi ni wasimamizi na walinda sheria hii ni advantage kubwa watu wa IT kupambana na uhalifu mtandaoni nakadhalika, medical professionals etc etc

Sio umeingia na degree husika unaenda soma masters yeyote ili mradi tu uongeze digits kwenye salary slip na unakuta haina hata application huo usomi una faida gani kwanza hapo umepoteza sifa ya usomi umeshindwa kwenda na mazingira kupambanua mambo umeingia na form 4 yako unasoma diploma haiendani kabisa na hilo jeshi lako ili mradi tu na wewe eti ndio umeongeza elimu ..

Na tunaposema jeshi fulani linaongoza kwa wasomi hayo niliyosema hapo juu ni kigezo cha kwanza cha kupima

Kigezo cha pili ni kuwa na watu proffesional au fani nyingi zenye application kwenye jeshi ambazo kwenye jeshi lengine hazipo mfano engineer wa meli , na wengineo ...fani gani ipo tanpol kwenye majeshi mengine haipo ? Jibu hakuna lakini kuna fani zipo jeshi lengine na tanpol hamna ... halafu anakuja mtu anakuita dogo janja kichwani hamna kitu hata hoja za msingi hana [emoji1787]
 
Qumernyoko [emoji1787] eti wanangoza elimu za juu

Utadhani majeshi mengine hayasomi

Mengine tu hawachukuwi form 4

Ni kuanzia diploma mfano jeshi la uhifadhi (tfs) kamishna mkuu tu ni profesa

Hapo sijagusa mtipidii na mengineyo

mnafarijiana
Hakuna jeshi linaitwa la uhifadhi hiyo ni taasisi tu haitambuliki kama jeshi kikatiba, mtaitana jeshi huko huko kwasababu ya kuvaa unform ila kikatiba haitambuliki
 
Nmeona huu mjadala sielewi why mnabishana hv, mfano wa fani ambayo majeshi mengine ipo ila Tanpol haipo n ipi hyo ?
 
Ndiyo mkuu ajira za mwaka jana zote niliomba kuanzia fire, polisi,magereza, uhamiaji lkn sikubahatika kupata niliishia interview tu
Duuh Pole mzee wakati wako hukufika

Safari hii Mungu akusaidie tu ufike kama vipi u force tu kwa namna yoyote ile


Yaani katika watu ambao nitafurahi muondoke humu ni wewe mkuu unastahili kabisa
 
Hakuna jeshi linaitwa la uhifadhi hiyo ni taasisi tu haitambuliki kama jeshi kikatiba, mtaitana jeshi huko huko kwasababu ya kuvaa unform ila kikatiba haitambuliki
Nani kasema ? [emoji1787]..

Jeshi la uhifadhi wa misitu ni jeshi na linatambulika mkuu unajihaibisha
 
Duuh Pole mzee wakati wako hukufika

Safari hii Mungu akusaidie tu ufike kama vipi u force tu kwa namna yoyote ile


Yaani katika watu ambao nitafurahi muondoke humu ni wewe mkuu unastahili kabisa
Amiina ,Nashkuru Sana,nawewe pia mungu atakusaidia
 
Duuh Pole mzee wakati wako hukufika

Safari hii Mungu akusaidie tu ufike kama vipi u force tu kwa namna yoyote ile


Yaani katika watu ambao nitafurahi muondoke humu ni wewe mkuu unastahili kabisa
Kwenye interview huwa wanaangalia nini au kufanya/kuuliza vitu gani hasa kwa wenye diploma or degree?
 
Sorry samahani hv interview zao huwa zinqhusu mambo gani.?
Za kawaida Sana, Sana Sana physical na damu,oral interview wanauliza maswali kuhusu polisi,viongozi na virefu vya vyeo,na vyeo ila lengo la oral wajue kma unajua soma na kuandika sababu wapo ambao walijibu hovyo na walitoboa kiufup mkiwa mnahitajika wengi ndiyo rahic kutoboa hata usaili unakuwa ni kukamilisha ratiba tu
 
Kwenye interview huwa wanaangalia nini au kufanya/kuuliza vitu gani hasa kwa wenye diploma or degree?
Mfano ajira za mwanzo kabisa za magereza jamaa zangu waliofanya pepa la magereza hawa wenye degree ya agricultural general lilikuja pepa linaloendana na kile walichosomea (kilimo) ndio waliniambia hivyo huko kwengine sijui nikesema nitakuwa nabuni
 
Kwa hiyo bro kwenye interview hamna maswala ya kuulizwa maswali au kufanya mtihani unaohusu fani yako uliyoombea kazi ktk jeshi husika?
 
Kuna baadhi ya certificate ngumu kupatikana kwa watu kama ya horse rider umkute mtu anacheti cha jkt na cheti cha fani hiyo ngumu sana kwa kweli
 
Nani kasema ? [emoji1787]..

Jeshi la uhifadhi wa misitu ni jeshi na linatambulika mkuu unajihaibisha
Leta ushahidi ni wapi katika katiba inatambulika kuwa ni jeshi maana katiba imebainisha na imetaja majeshi ni yapi acha kujichekesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…