Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Degree wanaweza kuwa wengi ila hao Certificate baadhi ya fani wanaweza wasipatikane na wengine kupita bila upinzani kabisa
 
Mfano ajira za mwanzo kabisa za magereza jamaa zangu waliofanya pepa la magereza hawa wenye degree ya agricultural general lilikuja pepa linaloendana na kile walichosomea (kilimo) ndio waliniambia hivyo huko kwengine sijui nikesema nitakuwa nabuni
Nimekupata bro, so sometimes ni heri kujiandaa maana lolote laweza kutokea interview
 
Daa hongera Sana,vp ulikuwa na mbanga au connection yoyote
Sikuwa na connection Ila Kama unayo usiache kutumia kudadekii

Kama short cut ipo kwa nini ujitese zama nayo kibabe

Utumishi sipo kwenye sekta ya majeshi mkuu
 
Kwa hiyo bro kwenye interview hamna maswala ya kuulizwa maswali au kufanya mtihani unaohusu fani yako uliyoombea kazi ktk jeshi husika?
Maswali yapo kaka ya ana kwa ana tena me nilifanya ila maswali yenyewe sasa linakuwa swali lolote wanaangalia confidence na ujibuji wako,utimamu wako,me nakumbuka mkuu wa mkoa alinuuliza bwana Xmonster ikitokea umekosa nafasi ya jeshi la polisi utafanyaje,niliulizwa swali moja tu,mara nyingi swali ni moja moja
 
Kwa hiyo bro kwenye interview hamna maswala ya kuulizwa maswali au kufanya mtihani unaohusu fani yako uliyoombea kazi ktk jeshi husika?
Lazima ulizwe kule makao lazima ukutane na panel imekuzunguka umekaa mtu kati hapo hawakosi ma ofisa wachache wenye ujuzi kama wako ukipata bahati labda yupo mmoja unaweza ambulia swali moja la fani au usiulizwe ukaulizwa general questions

Kwa mujibu wa jamaa zangu sio mimi
 
Duh upolisi umekuwa dili? Kweli vyuma vinekaza...kule mshahara shngapi degree?
Mnaenda kupewa zamu za lindo?
Sijui mishahara yao ,sema Watoto wa mama ntilie sisi,wazazi wetu umri ushaenda tunatamani kuwasaidia ila kazi hatuna,pesa hakuna siwezi chagua kazi napambana hata kma kidogo hakitatosha kuhonga kitatosha kumlea mama, Mungu atubariki hii rizki [emoji120]
 
Duh upolisi umekuwa dili? Kweli vyuma vinekaza...kule mshahara shngapi degree?
Mnaenda kupewa zamu za lindo?
Mshahara n mzuri ukiingia na degree utalipwa mshahra wa degree wanaolipwa wengine mtaani lakini Kuna posho kule 300K kila mwezi, 100K kila mwezi ya vinywaji ambayo sku hiz wanapewa kila baada ya miezi minne wanaijumlisha wanapewa 400k bado ukienda field force Kuna posho nyingine pia,

Bado kwa upolisi Kuna vimadili flani visivyo rasmi nazani vinajulikana kuingia bure kutoka pesa[emoji2][emoji2] tulio kwenye utumishi nje ya majeshi posho yenyewe kuja kuipata hadi seminar au vitokee v per DM m nawashauri vijana ombeni kwenye majeshi kazi n ngumu lakin maslahi yapo
 
Qumernyoko [emoji1787] eti wanangoza elimu za juu

Utadhani majeshi mengine hayasomi

Mengine tu hawachukuwi form 4

Ni kuanzia diploma mfano jeshi la uhifadhi (tfs) kamishna mkuu tu ni profesa

Hapo sijagusa mtipidii na mengineyo

mnafarijiana
Una uwezo mdogo sana kuchambua mambo na kujenga hoja.
TFS ni jeshi?
Soma vizuri ndiyo ujibu usikurupuke.
 
H
Hv vtengo huwa wanagawaje mfano traffic,GD,FFU..
au nawenywe wanakatwa mabogi
 
Wewe ni mjuaji sana dogo janja.
TFS,TANAPA hapa hakuna majeshi dogo hizi ni paramilitary.
Jeshi ni TPDF,PT,MT,UT,ZT.
Acha ujuaji.
Wewe ni mjuaji sana dogo janja.
TFS,TANAPA hapa hakuna majeshi dogo hizi ni paramilitary.
Jeshi ni TPDF,PT,MT,UT,ZT.
Acha ujuaji.
Uhifadhi wa wanyamapori pia waliiliongeza nalo limekua kama jeshi siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…