mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
Duuuh hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyepata 1 na II huyu alienda high school naye katajwa humu.Hii kali. Yaani division 1 na 2 hawatakiwi!! Hili jeshi wanajifahamu vizuri wakiongozwa na Zirro.
View attachment 1897216
Advance yenyewe sini wa pcm,pgm na pcb auAliyepata 1 na II huyu alienda high school naye katajwa humu.
Aliyepata 1 na II huyu alienda high school naye katajwa humu.
no time for connection. una vigezo applyNafasi zipo kiongozi au mpaka connection
na ufaulu zaid ni added advantagesSi ndo hapo sasa man, sijaelewa mantiki yake hapa? Kwamba hawataki vijana wenye ufaulu wa juu huko polisi ama
sasa unanilalamikia mm ndio nimetoa tangazo?DC tangazo linataka Jkt alafu unaniambia kama Nina vigezo wakati hapo tayari mchujo, hii Nchi bhana tabu tupu double standard daily au huko MG tulipewa mafunzo na raia?
km wa kwa mujibu wanapewa cheti unaweza kuombaHizi zinawahusu wepi!
Hata Wa kwamujibu Wa sheria wale Wa form vi
no time for connection. una vigezo apply
Sawa kakafanya mpango upate cheti cha jkt mtaani. wabongo hawajawahi kushindwa kitu
Acha roho mbaya ,kwani anapelekwa tuu? si anapewa mafunzo...Jeshi la Polisi ni zero kabisa! Yaani mtu kaferi form four ana four ya 26 hadi 32 ndiyo akawe mwana usalama wa kulinda raia na mali zake kweli??