BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Boss hebu niPM number yako tuwasiliane jinsi ya kufanya applicationNadhani ni kwa posta kwa nilivyoelewa....ila changamoto yangu na mimi nitapataje anuani ya kanembwa jkt na jina la mkuu wa pale kwa sasahivi [emoji120][emoji120]naomba msaada kwa anaefahamu