X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
dah onyesha kudra zake enh Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kazi. Inahitaji iron boy mkuuJeshi la Polisi ni zero kabisa! Yaani mtu kaferi form four ana four ya 26 hadi 32 ndiyo akawe mwana usalama wa kulinda raia na mali zake kweli??
JKT= "jeshi la kujenga taifa" (hii ni kwa Tanzania bara)jku......ndio jeshi ani hilo
Hao wana huruma mkuuAwe na ufaulu wa div 4 au 3 tuu sasa Kwa wale wenye div 1 na 2 hawatakiwi au inakuwaje
As long as umepita jkt mafunzo ya awali na una cheti apply tu mzee...changamoto yangu bado sijaelewa tunapeleka kwa mkono huko makao makuu dodoma au?
Hahahaa nani kakudanganya?no time for connection. una vigezo apply
si necessary. nilipokuwa jkt wenzangu wengi walienda bila connection. wachache sana tena wenye wazaz au ndugu huko ndio huingia kwa hizo mambo.Hahahaa nani kakudanganya?
connection lazimaa
Wajibu wa Sheria ndio nini?Sisi Wa wajibu Wa sheria??
kumbe majibu unayo?si necessary. nilipokuwa jkt wenzangu wengi walienda bila connection. wachache sana tena wenye wazaz au ndugu huko ndio huingia kwa hizo mambo.
hujui lolote.hilo ni jeshi linafanya kazi kwa maelekezo na sio hisiaJeshi la Polisi ni zero kabisa! Yaani mtu kaferi form four ana four ya 26 hadi 32 ndiyo akawe mwana usalama wa kulinda raia na mali zake kweli??
niibox nikupe namba ya afande manyota flan pale atakusaidia.Nadhani ni kwa posta kwa nilivyoelewa....ila changamoto yangu na mimi nitapataje anuani ya kanembwa jkt na jina la mkuu wa pale kwa sasahivi [emoji120][emoji120]naomba msaada kwa anaefahamu
but wachache sana and hatukuwa na miaka hiyo wkt topu jkt. were young.kumbe majibu unayo?
nina miaka 31 na polisi naenda
Mimi pia nilipita Kanembwa, lakini nimemuuliza mtu kaniambia kuwa kwa wale ambao bado wapo makambin ndio wataandika kupitia wakuu wao wa jeshi...ila kama ulishapita na ukahitimu haina hajaNadhani ni kwa posta kwa nilivyoelewa....ila changamoto yangu na mimi nitapataje anuani ya kanembwa jkt na jina la mkuu wa pale kwa sasahivi [emoji120][emoji120]naomba msaada kwa anaefahamu
Posta mzee barua itafika muda wa kuapply ushaisha 😂😂Nadhani ni kwa posta kwa nilivyoelewa....ila changamoto yangu na mimi nitapataje anuani ya kanembwa jkt na jina la mkuu wa pale kwa sasahivi [emoji120][emoji120]naomba msaada kwa anaefahamu