MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Wenye
Wenye one na two wanajitambua mtatuharibia dili la kuchakachua matokeo ya chaguzi maana mnajitambua.Awe na ufaulu wa div 4 au 3 tuu sasa Kwa wale wenye div 1 na 2 hawatakiwi au inakuwaje