We mgeni kwmye huu uzi ndio mana waniuliza maswali hayo,nishakwambia me nina miaka miwili sasa nafatilia ajira za majeshi, unadhani nafatilia ajira bila kuwa nimepita JktLjn ndgu tuache masihara naomba nikuulize swali,umepita jkt wew?
wanatak kuvimba tuu,sisi tulio ishi uservice ndo tunaelewa maisha yao kule sema hatutoi tuu siri ya kambi ,ndomana hatujali popote tutaomba kazi Jw ni misifa tuu huku mtaani kwa raia wasio wajua hali zaoKwani ni zambi mkuu sioni tatizo lolote iwe idara isiwe idara tunaomba kazi ivyo ivyo hatujaja kutafuta sifa,tafuta hela usitafute sifa kijana [emoji28]
Mbna wapo wanaopiga kozi bila kupita jkt,kikubwa unamjua nani!!.bas ulivo zuzu utaleta ubishi kwny hiliWe mgeni kwmye huu uzi ndio mana waniuliza maswali hayo,nishakwambia me nina miaka miwili sasa nafatilia ajira za majeshi, unadhani nafatilia ajira bila kuwa nimepita Jkt
Ukimaliza kozi CCP unapewa kaki na hiyo kijani pamoja na mkanda ule wa bendera ya Tanzania.Hivi nauliza kwenye vazi la Askari polisi wale wanaovaa rangi ya kaki na wale wanaovaa kijani wanatofauti gani au ni tofauti ya vitengo tu?
Toa hoja mbna hueleweki wewUbishi wa kijinga ambao hauna mantiki huu. At least argue something constructive rather than showing how empty-headed u are.
Aaaaah sas hapa kaka unahamisha mada. Suala sio maslahi suala ni jeshi au sio jeshi bas hayo ya maisha mazuri sjuwwanatak kuvimba tuu,sisi tulio ishi uservice ndo tunaelewa maisha yao kule sema hatutoi tuu siri ya kambi ,ndomana hatujali popote tutaomba kazi Jw ni misifa tuu huku mtaani kwa raia wasio wajua hali zao
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Jua kali lakuchanganya umeona sasa waleta ubishi mwengineMbna wapo wanaopiga kozi bila kupita jkt,kikubwa unamjua nani!!.bas ulivo zuzu utaleta ubishi kwny hili
Jeshi ni zaidi ya silaha ndugu.Tanzania tusijidanganye tuna Jeshi,kwa silaha za Ak47 silaha ambazo kongo raia wanazo [emoji28][emoji28]
Watoto washamba Sanawanatak kuvimba tuu,sisi tulio ishi uservice ndo tunaelewa maisha yao kule sema hatutoi tuu siri ya kambi ,ndomana hatujali popote tutaomba kazi Jw ni misifa tuu huku mtaani kwa raia wasio wajua hali zao
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Unaona jns ulivo mburula,w2 tuna zaidi ya hii miwili unayosema wew bwashekh hlf kukomalia k2 kw mda mrefu haikufanyi ukijue,ndio maana wapo wanaomaliza lasaba miaka 7 hawajuw kusoma.We mgeni kwmye huu uzi ndio mana waniuliza maswali hayo,nishakwambia me nina miaka miwili sasa nafatilia ajira za majeshi, unadhani nafatilia ajira bila kuwa nimepita Jkt
Mim napita na hoja wew huna hoja ndio maana unaona km nakukuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa anaubishani wakijuha sana huyo
[emoji23][emoji23][emoji23]mwambie huyu aelewe,anadhani jeshi m2 wa kawaida kwny medan
Hahahahaahahaa hapo umenichekesha sn.Jua kali lakuchanganya umeona sasa waleta ubishi mwengine
yan mkuu Tz kuna Majeshi ya ulinzi na usalama , idara ipo ya usalama wa taifa, yale majeshi yote yanayo pita kwenye Parade ya Taifa ni Majeshi ya ulinzi na usalama.JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA,JESHI LA POLISI ,JESHI LA MAGEREZA, JESHI LA ZIMAMOTO , Sahizi wameongezeka na JESHI LA UHAMIAJI.Aaaaah sas hapa kaka unahamisha mada. Suala sio maslahi suala ni jeshi au sio jeshi bas hayo ya maisha mazuri sjuw
Tulia na wewe hujuw loloteUbishi wa kijinga ambao hauna mantiki huu. At least argue something constructive rather than showing how empty-headed u are.
Safi,sas mim swali langu ni dg tu kwanin kwny hzi ajira za uhamiaji wameandika idara ya uhamiaji badala ya jeshi la uhamiaji?yan mkuu Tz kuna Majeshi ya ulinzi na usalama , idara ipo ya usalama wa taifa, yale majeshi yote yanayo pita kwenye Parade ya Taifa ni Majeshi ya ulinzi na usalama.JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA,JESHI LA POLISI ,JESHI LA MAGEREZA, JESHI LA ZIMAMOTO , Sahizi wameongezeka na JESHI LA UHAMIAJI.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
hahahaa hapo sielewi sasa nyie endeleeni kubishana uzi usi poeSafi,sas mim swali langu ni dg tu kwanin kwny hzi ajira za uhamiaji wameandika idara ya uhamiaji badala ya jeshi la uhamiaji? View attachment 2448996
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahahaa hapo sielewi sasa nyie endeleeni kubishana uzi usi poe
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Sas km hv waeleweshaji wenyewe nyie hamjuw ndio mnataka nikubali kirahisi tu kuwa uhamiaji ni jeshi.hlf m2 anajisemea tu wew mbishi sn,ubishi wangu wa hoja ukiweza kupangua hoja yangu naungana na wewe.[emoji1787][emoji1787]hahahaa hapo sielewi sasa nyie endeleeni kubishana uzi usi poe
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nishakwambia hadi tarehe na mwezi uhamiaji ilipo rasimishwa kuwa Jeshi bado unataka kubishana,we ni mweupe SanaSas km hv waeleweshaji wenyewe nyie hamjuw ndio mnataka nikubali kirahisi tu kuwa uhamiaji ni jeshi.hlf m2 anajisemea tu wew mbishi sn,ubishi wangu wa hoja ukiweza kupangua hoja yangu naungana na wewe.[emoji1787][emoji1787]