BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Nimeona umeuliza mara nyingi bila jibu. Sio kwamba watu hawaoni ila nadhani hawana jibu. Binafsi sijui asee kama hawa jamaa watatoa ajira au vipi. Tusubiri. Ila wakati unasubiri apply kwingine pia.jaman kwa mwenye uelewa kwahyo jwtz wakishachukuliwa military science ndio basi tena hawachukui tena au inakuaje kuna nafasi nyingine zitatangazwa
tatizo jwtz wnapenda kuchukua walioko makambini na mujibu wa sheria,tuliokitaa uwe na fani hasa MDNimeona umeuliza mara nyingi bila jibu. Sio kwamba watu hawaoni ila nadhani hawana jibu. Binafsi sijui asee kama hawa jamaa watatoa ajira au vipi. Tusubiri. Ila wakati unasubiri apply kwingine pia.
Hamna mkuu kama nafasi zipo zipo tu kibali kikitoka wanaweza hata kuchukua awamu mbili kwa mwaka moja shida ni uhitaji tu na kibali . ila Military science mara nyingi wanachukuliwa mkiwa mujibu wa sheria. Ukikosa military science ingia hata ya kawaida nimeskia lonja mwezi wa pili wanakuja.Hivi sorry naomba kuuliza kuhusu ajira hizi za jwtz hivi wakishachukuliwa military science wale form six ndio inakuwa ndio bc tena hawachukui tena au kuna nafasi nyingine zitatolewa
Kwahyo hao wanaozipenda hawalipwi kila mwezi ??Mzee sikutishi ila ukizama chombo chochote kile kwa ajili ya mshahara tu aise utateseka sana maana majukumu na kazi sio poa ...hizi kazi huwa ni kwa ajili ya wanaozipenda na kuipenda nchi yao
Hiyo ni misemo tu.Polisi ni raia mkakamavu muraa ova
shukran san nimekuelewaNimeona umeuliza mara nyingi bila jibu. Sio kwamba watu hawaoni ila nadhani hawana jibu. Binafsi sijui asee kama hawa jamaa watatoa ajira au vipi. Tusubiri. Ila wakati unasubiri apply kwingine pia.
aha hapo sawa nimekuelewa mkuu maana kuna mtu alinambia amenitafutia connection nijiandae mwezi wa pili mwakani sasa nkawa napata ukakasi kama kuna ukweli hapo maana military wao wameanza mwezi wa 11 mwishoniZitatoka tu apply kwanza polisi na uhamiaji lolote laweza tokea maana yawezekana February wakatoa.
yeah hapo sawa nimeamini kuna mtu ameniambia pia mwezi wa pili wanatangazaHamna mkuu kama nafasi zipo zipo tu kibali kikitoka wanaweza hata kuchukua awamu mbili kwa mwaka moja shida ni uhitaji tu na kibali . ila Military science mara nyingi wanachukuliwa mkiwa mujibu wa sheria. Ukikosa military science ingia hata ya kawaida nimeskia lonja mwezi wa pili wanakuja.
Military baadhi wameenda nje ya nchi wiki hii kuanza kozi Lakin kuna askari baadhi wameenda monduli kuanza ofsa cadet.aha hapo sawa nimekuelewa mkuu maana kuna mtu alinambia amenitafutia connection nijiandae mwezi wa pili mwakani sasa nkawa napata ukakasi kama kuna ukweli hapo maana military wao wameanza mwezi wa 11 mwishoni
yaani kwa njaa iliopo kitaa usubirie wapili ,na kumbukeni ni lonja tu hio haiina verification yoyote ,kwangu mm hata fire nataka nirushe japo changamoto umri shida fireMilitary baadhi wameenda nje ya nchi wiki hii kuanza kozi Lakin kuna askari baadhi wameenda monduli kuanza ofsa cadet.
Kwa lonja iliyopo ni kuwa Jwtz February wanacheka.
fire tayari mbna deadline ya kutuma maombi ishapita au wewe ulishatuma tayariy
yaani kwa njaa iliopo kitaa usubirie wapili ,na kumbukeni ni lonja tu hio haiina verification yoyote ,kwangu mm hata fire nataka nirushe japo changamoto umri shida fire
nilitamani kutumafire tayari mbna deadline ya kutuma maombi ishapita au wewe ulishatuma tayari
Zipo kurasini pale.Msaada kwa tulio kua dar es salaam haya maombi ya polisi tunatuma kwa makamanda wabkipolisi wa mkoa wa kinondoni au temeke au tunatuma kwa kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam.....na ofice za kamanda mkuu wa mkoa wa dar es salaam kwa anayefahamu zilipo tafadhali nataka nipeleke hizi document zangu......[emoji120][emoji120]
Nyota inasomewa,hawatoi tuU
Utasubir sana mzee utajutia hii chance ya police uko tpdf mpaka uwe na mbanga mzee jaribu na uku ukipenya na degree yako mbna unakula maisha tu unaanza na nyota moja polisi
ah sawaZipo kurasini pale.
Nenda kituo cha polisi cha kilwa road then maafande watakuelekeza vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi uhamiaji waliposema watatoa kipaumbele ya fani ya udereva,nikituma maombi kwa cheti cha degree na udereva ila sina jkt nitatoboa kweli ?Mimi nachoomba nipate tu mchongo huko uhamiaji... So km sijui ni jeshi, sijui taasisi, sijui polisi mimi binadsi sijali hayo mambo!!! Cha muhimu niishi tu mwisho wa mwez[emoji23]
Hapa hamna mwenye uhakika Mzee japo walisema Jkt lazima lakini me nashauri we tuma tu lolote laweza tokea kuliko kusubiri majibu ya wadau apa.Hivi uhamiaji waliposema watatoa kipaumbele ya fani ya udereva,nikituma maombi kwa cheti cha degree na udereva ila sina jkt nitatoboa kweli ?
Sawa,nitajaribu bahati kakaHapa hamna mwenye uhakika Mzee japo walisema Jkt lazima lakini me nashauri we tuma tu lolote laweza tokea kuliko kusubiri majibu ya wadau apa.